Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii kufanyia kazi ripoti ya tume ya Waziri Nape

Cicadulina

JF-Expert Member
Sep 8, 2015
961
2,345
Alichofanya RC ni matumizi mabaya ya madaraka, tunasubiri ripoti ya tume ifike kwetu'- Serukamba Mwenyekiti Kamati ya Bunge Huduma za Jamii


 
Kelele za chura, wangekuwa na meno tungewapigia makofi. Aliyemuweka alipo kwani hajasikia hayo??
 
Nape haripoti kwa kamati za Bunge, ni either aiweke hadharani ripoti nzima au aipeleke kwa Magu tena.
BTW, sioni kama hiyo kamati itafanikiwa kumuhoji Makonda ndani ya masaa 24, Magu apewe muda amalizane na kijana wake vinginevyo ataleta sintofahamu isiyo na lazima.
 
Hi hii
Nape haripoti kwa kamati za Bunge, ni either aiweke hadharani ripoti nzima au aipeleke kwa Magu tena.
BTW, sioni kama hiyo kamati itafanikiwa kumuhoji Makonda ndani ya masaa 24, Magu apewe muda amalizane na kijana wake vinginevyo ataleta sintofahamu isiyo na lazima.
Kamati ya bungu inaigiaje hapa au ndo kiherehere
 
Hiyo Kamati ya Bunge ndiyo inayoteua Wakuu wa Mikoa? Kuna Wenyeviti wengine tunaambiwa wamejiuzulu kisa wanadai wanaandamwa na maneno maneno, sasa Mwenyekiti mzima unajiuzulu kisa maneno ya ushilawadu shilawadu tu? Hawa Wenyeviti wetu bana!
 
Mwenye kiti imara angesimamia uamuzi wake siyo kujiuzuru maana Magu sio aliyemchagua.
 
Sakata la Bashite leo limefika kikomo kwa Mkuu wa nchi kutangaza kuwa hatomtumbua. Tunaamini hiyo ndiyo mamlaka sahihi ya uteuzi na utumbuaji. Kwa kuwa imegoma kumtumbua Bashite tuomba mihimili mingine itusaidie.

Tumeona Migogoro ya uongozi wa Trump ikizimwa na mahakama huko Marekani. Nasi tunaamini bado mahakama inaweza kutusaidia. Tumesikia kuna watu wana nia ya kufile case. Tunawaomba wafanye hima na mahakama ifanye hima kumtia hatiani huyu mtu ili awe Mkuu wa mkoa akititokea gerezani make hatumbuliki. Ni bora kuwa na Mkuu wa mkoa mfungwa kuliko ilivo sasa.

Mhimili wa bunge nao tunauomba msaada wenu. Wabunge wa ccm tu naomba mlitazame hili kwa sura ya utaifa. Unganeni na ndugu zenu wa upizani azimieni kumuondoa bashite ili hata kama Mkuu wa nchi akimung'ang'ania historia iandikwe.

Naamini hamtatuangusha sisi wananchi wenu.

Nawatakia kazi njema wote
 
Tat
Sakata la Bashite leo limefika kikomo kwa Mkuu wa nchi kutangaza kuwa hatomtumbua. Tunaamini hiyo ndiyo mamlaka sahihi ya uteuzi na utumbuaji. Kwa kuwa imegoma kumtumbua Bashite tuomba mihimili mingine itusaidie.

Tumeona Migogoro ya uongozi wa Trump ikizimwa na mahakama huko Marekani. Nasi tunaamini bado mahakama inaweza kutusaidia. Tumesikia kuna watu wana nia ya kufile case. Tunawaomba wafanye hima na mahakama ifanye hima kumtia hatiani huyu mtu ili awe Mkuu wa mkoa akititokea gerezani make hatumbuliki. Ni bora kuwa na Mkuu wa mkoa mfungwa kuliko ilivo sasa.

Mhimili wa bunge nao tunauomba msaada wenu. Wabunge wa ccm tu naomba mlitazame hili kwa sura ya utaifa. Unganeni na ndugu zenu wa upizani azimieni kumuondoa bashite ili hata kama Mkuu wa nchi akimung'ang'ania historia iandikwe.

Naamini hamtatuangusha sisi wananchi wenu.

Nawatakia kazi njema wote
Tatizo majaji wanateuliwa na Rais

Kwa hiyo wanakuwa na conflict of interest inapotokea ni suala linalomgusa Rais moja kwa moja.

Kwa maana hiyo usitegemee msaada toka kwa mahakama katika hili.

Wabunge wa CCM nao walishapigwa mkwara na mwenyekiti wao.

Twafwaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom