Kamati ya Bunge imepata ajali Rungwe mkoani Mbeya

Kamati ya Bunge imepata ajali Rungwe mkoani Mbeya

Mapengo 17

R I P
Joined
Mar 28, 2014
Posts
1,228
Reaction score
618
Habari za hivi punde kutoka ITV zinaeleza kuwa msafara wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu imepata ajali huko katika Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya kutokana na basi la abiria aina Costa kugongana uso kwa uso na moja ya magari yaliyokuwepo katika msafara huo.

Majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Rungwe na hakuna aliyekufa, Pia chanzo cha ajali kinadaiwa kuwa ni kona kali zillizopo katika maeneo ya Wilaya hiyo.

Chanzo: ITV
 
Habari za hivi punde kutoka ITV zinaeleza kuwa msafara wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu imepata ajali huko katika Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya kutokana na basi la abiria aina Costa kugongana uso kwa uso na moja ya magari yaliyokuwepo katika msafara huo.

Majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Rungwe na hakuna aliyekufa, Pia chanzo cha ajali kinadaiwa kuwa ni kona kali zillizopo katika maeneo ya Wilaya hiyo.



Chanzo: ITV

Sikubaliani kbs na hilo la kwenye red,
hiyo kona ipo siku zote, na si mara ya kwanza magari kupishana kona hiyo
Labda niambiwe kuwa chanzo ni mwendo kasi kwa moja au magari yote yaliyohusika kwenye ajali. hasa hilo la wabunge maana huwa wanajisahau na kudhani kuwa kuwa mbunge ni kuwa muungu mtu!
 
Sikubaliani kbs na hilo la kwenye red,
hiyo kona ipo siku zote, na si mara ya kwanza magari kupishana kona hiyo
Labda niambiwe kuwa chanzo ni mwendo kasi kwa moja au magari yote yaliyohusika kwenye ajali. hasa hilo la wabunge maana huwa wanajisahau na kudhani kuwa kuwa mbunge ni kuwa muungu mtu!

Vyanzo vikuu vya ajali :-

Miundo mbinu dhaifu 4 %
Chombo husika 4 %
Mazingira / Weather 2 %

Lakini kwa hizo asilimia zilizobakia zooooote 90 % ni UZEMBE WA DEREVA hakuna kingine.

Hilo suala la kona wala sio kweli.
 
Sikubaliani kbs na hilo la kwenye red,
hiyo kona ipo siku zote, na si mara ya kwanza magari kupishana kona hiyo
Labda niambiwe kuwa chanzo ni mwendo kasi kwa moja au magari yote yaliyohusika kwenye ajali. hasa hilo la wabunge maana huwa wanajisahau na kudhani kuwa kuwa mbunge ni kuwa muungu mtu!


Umekosea Mkuu, hapo haijathibitishwa ndio maana sentensi inasema inasemekana/indaiwa..................
 
Umekosea Mkuu, hapo haijathibitishwa ndio maana sentensi inasema inasemekana/indaiwa..................

Imesemekana na nani? disclose the source.
Mathalani unadhani dereva atasema chanzo ni mwendo kasi?, Zaidi ya kutoa visingizio vya kusadikikika!
 
Imesemekana na nani? disclose the source.
Mathalani unadhani dereva atasema chanzo ni mwendo kasi?, Zaidi ya kutoa visingizio vya kusadikikika!


Kwani dereva ndiye anathibitisha kuwa ajali ilitokana na nini?hii ni lugha inayotumika kama taarifa za awali lakini baada ya uchunguzi/vipimo kufanyika ndipo hubainika kuwa ajali ilitokana na nini.
 
Je wajumbe wa kamati wanajifunza nini kuhusiana na ajali hiyo na zingine nyingi ambazo zimekuwa zinatokea nchini na hasa zile zinazohusisha mabasi na kugharimu maisha ya watu wengi, nadhani wamepata nafasi ya kujifunza kama siyo kujikumbusha kuwa kutunga sheria na kuzisimamia kwa karibu yaweza kuwa njia moja ya kumfanya kila raia kukumbuka au kutimiza wajibu wake katikka kupunguza ajali za barabarani
 
Habari za hivi punde kutoka ITV zinaeleza kuwa msafara wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu imepata ajali huko katika Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya kutokana na basi la abiria aina Costa kugongana uso kwa uso na moja ya magari yaliyokuwepo katika msafara huo.

Majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Rungwe na hakuna aliyekufa, Pia chanzo cha ajali kinadaiwa kuwa ni kona kali zillizopo katika maeneo ya Wilaya hiyo.

Chanzo: ITV

Wee nawe!! eti chanzo cha ajali ni kona!! hizo kona zimekuwepo miaka yote ajali kwa vile imehusisha hao jamaa basi ndio tatizo ni kona!! why usiseme tu dereva ameshindwa kumudu!!!?
Wengine huwa wanapita wapi????
 
Wee nawe!! eti chanzo cha ajali ni kona!! hizo kona zimekuwepo miaka yote ajali kwa vile imehusisha hao jamaa basi ndio tatizo ni kona!! why usiseme tu dereva ameshindwa kumudu!!!?
Wengine huwa wanapita wapi????
kilutema wewe nawe ni kilaza tu mimi ndio nimesema hivyo au mimi nimeleta mada accoding to ITV?acha usabiki usio na maana kwamaana nimeweka hadi source sasa ungewahoji ITV hilo swali ila sio mimi.
 
Last edited by a moderator:
Wee nawe!! eti chanzo cha ajali ni kona!! hizo kona zimekuwepo miaka yote ajali kwa vile imehusisha hao jamaa basi ndio tatizo ni kona!! why usiseme tu dereva ameshindwa kumudu!!!?
Wengine huwa wanapita wapi????


Majitu mengine sijui kama yakoje inamaana hujaelewa kuwa huyu amewanukuu ITV?
 
Back
Top Bottom