Hizi michezo za kamari za kichina zimewekwa kila kona za miji na zinadumaza vijana wengi kufanya kazi...........nashauri zipigwe marufuku kama viroba ili kunusuru taifa........
Hii sasa imekua aina nyingene ya mikeka. vijana wanashinda na kukesha kwenye makamari tu, akitoka mikeka betting anaingia kwenye hizi mashine, kazi zinalala tu wengina wanasahau hata kuoga
Si ndo ujibu sasa.
hao wasomi wenyewe hawana kazi.
Serikali ardhi imeng'ang'ania.
Hata hizo kazi za nguvu siku hizi kuzipata tabu.
Watafanya kazi ganii?