Kamanda Mpinga, kama Saibaba wanakimbia hivi na wanawapita trafiki kazi tunayo!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Naongea kwania njemaa aisee nachokiona mda huu kwenye Saibaba T644 AWD siamini..

Ni basi ya Saibaba inakimbizana na mwenzie kiukweli naogopa yaani wana overtake ovyo hadi gari ndogo zinakimbilia nje ya barabara hii ni hataree sanaa na nyuma imeandikwa God bless us. Atakubarikije unataka kuchinja wananchi? No pls

Kibaya wanapita sehemu trafic wamesimama same speed na pengine wanaovertake mbele yao wanachofanya wanawapigia honi. Sijaeewa na wao nao wanafurahia ama ni salamu ya kawaida...

Tulinde wananchi tupunguze ajali kama possible tuokoe wananchi wasio na hatia kuiona ardhi kabla ya muda wao...

Mh Mpinga embu walimonite hili gari najua kuna mengi huko mbeleni naamini hizi mbio ndizo zinaua
 
Mpwa ukimaliza kuandika hayo, naomba uwaulize dereva na kondakta wa hilo gari kwa nini wameweka kitambaa cheusi mwishoni nyuma juu ya body ya hiyo gari upande wa kulia.?
 
Dash board umeiona? Speed mita mshale uko wapi? Isije kuwa inasoma 70 au 80 kwako ikawa ni over speed!
 
Kiufupi Mkuu baadhi ya Basi za Arusha - Dar hizi za bei ya Taifa ya Sumatra zinatembea kwa mwendo kasi sana na hii inachochewa na Abiria hasa wafanyabiashara wa Moshi na Arusha kwa madai ya kuwahi dili za biashara.
Kama hutaki hayo Panda zile gari za Semi Luxury au Luxury wako makini lakini kufika Saa moja.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mpwa ukimaliza kuandika hayo, naomba uwaulize dereva na kondakta wa hilo gari kwa nini wameweka kitambaa cheusi mwishoni nyuma juu ya body ya hiyo gari upande wa kulia.?
Hahahaaaaaa MPWAAANNIMEKIONAAA KHE
 
Back
Top Bottom