Kamanda Mawazo atoa wito kwa WanaCHADEMA wote

Kamanda Mawazo atoa wito kwa WanaCHADEMA wote

maguzu masese

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
283
Reaction score
139
Katika mwendelezo wa operationi katika visiwa ndani ya Ziwa Victoria,ambazo zinaendelea kuonyesha mafanikio makubwa kwa CHADEMA,kamanda Mawazo amesema kuwa ,hali ya vijijini kwa chama ni nzuri sana,chama kinapendwa,chama kina wafuasi wengi sana wenye nia ya dhati na mabadiliko,taatizo hawajui wafanye nini ,maana wengi wao wamesikia tu mvumo wa CHADEMA,mitaanikatika katika mazungumzo na vyombo vya habari.Sehemu zenye viongozi wa chama,wengi wao hawana uwezo wa kuielezea CHADEMA na falsafa yake aghalabu hata salam ya chama ni shida.

Hivyo kamanda huyo ametoa wito kwa vijana kujitolea,kwani chama kinahitaji Volunteers zaidi maeneo ya vijijini.ameendelea kusii vijana wenye mapenzi ya dhati na chama na wanakifahamu vyema na wanapenda uwepo wa jamii huru,ni muda pekee wa kuhakikisha wanakisambaza sehemu za vijijini na si kubaki mijini kama kweli vijana wanaitakia mema hii nchi.

Kamanda mawazo na timu yake wanaendelea na ziara visiwani kwa siku tatu hivi leo.

VIVA KAMANDA MAWAZO NA TIMU YAKE,VIVA CHADEMA........

v
 
Huyu jamaa ni hatarisana kwa wana ccm,ye huwa anadai kuwa anaishi kwa mkopo,kama ni kufa alishakufa kitambo sana wakija kumuua wanatimiza agano tu,big up kamanda Mawazo
 
Kwa dhamira kama hzi pekee ndio tutayafikia mabadiliko.

Kamanda Mawazo ni shujaa wa ukweli kukamilisha mabadiliko tunayoyatamani kweli
 
Katika mwendelezo wa operationi katika visiwa ndani ya Ziwa Victoria,ambazo zinaendelea kuonyesha mafanikio makubwa kwa CHADEMA,kamanda Mawazo amesema kuwa ,hali ya vijijini kwa chama ni nzuri sana,chama kinapendwa,chama kina wafuasi wengi sana wenye nia ya dhati na mabadiliko,taatizo hawajui wafanye nini ,maana wengi wao wamesikia tu mvumo wa CHADEMA,mitaanikatika katika mazungumzo na vyombo vya habari.Sehemu zenye viongozi wa chama,wengi wao hawana uwezo wa kuielezea CHADEMA na falsafa yake aghalabu hata salam ya chama ni shida.

Hivyo kamanda huyo ametoa wito kwa vijana kujitolea,kwani chama kinahitaji Volunteers zaidi maeneo ya vijijini.ameendelea kusii vijana wenye mapenzi ya dhati na chama na wanakifahamu vyema na wanapenda uwepo wa jamii huru,ni muda pekee wa kuhakikisha wanakisambaza sehemu za vijijini na si kubaki mijini kama kweli vijana wanaitakia mema hii nchi.

Kamanda mawazo na timu yake wanaendelea na ziara visiwani kwa siku tatu hivi leo.

VIVA KAMANDA MAWAZO NA TIMU YAKE,VIVA CHADEMA........

v
mkuu mawazo tuanze na hawa waliofelishwa mwaka huu nafikiri wapo over 18 ni makamanda wazuri wa nchi kavu.
 
Huyu jamaa ni hatarisana kwa wana ccm,ye huwa anadai kuwa anaishi kwa mkopo,kama ni kufa alishakufa kitambo sana wakija kumuua wanatimiza agano tu,big up kamanda Mawazo
mwanzoni wengi tulifikiri ukimdhibiti dr.slaa basi umeidhibiti CDM, kumbe hatukuwa sahihi, sasa hivi mashambulizi yanatoka kila kona ya uwanja --left, right and centre. hongera sana makamanda.
 
Tusiache kumtaja huyu jamaa kila tunapoingia kwenye maombi yetu, maana hatujui watakuwa wanapanga nini kwa ajili ya huyu bwana maana anavyowabomoa kamwe hawatakaa kimya.
 
hakika kazi yako italipwa kwa sara za taifa la watu wanyonge.

dhamira yako na ikawe shubiri kwa wale wote wenye kupoka haki za raia wanyonge waishio chini ya kiasi cha dollar moja huku wao wakineemeka na rasilimali za taifa hili kwa kuwafanya watanzania hamnazo na hawajui kitu.

mungu akutangulie ktk harakati zako zote.
Wito kwa chama: tafadhali muwezesheni kijana huyu kwa gharama zozote ili aweze fikisha ujumbe kwa hadhara zote pande za vijijini kama afanyavyo sasa.
Ikiwezekana mpatieni hata daktari kwa ajili afya yake kwani huko aendako kwa mda mrefu kuna huduma duni za kiafya jambo ambalo yeye binafsi analipigania kwa kuwaelimisha watanzania wajikwamue kutoka ktk dimbwi hilo la matatizo.
mpeni pia vijana wa kumlinda .
kamanda go go go go.......
 
Mimi nimekuunga mkono siku nyingi sana Kamanda Alfonce , Tunakukaribisha huku kata ya Ikimba , kyela .
 
Bigman huyu anatisha, nitoe mwito, kwa vijana wote, kama inawezekana, vijana wa CHADEMA TUSIISHIE kusema big up Mawazo, twende mbali zaidi kwa kumuwezesha huyu KAMANDA kiuchumi ili kazi zake ziweze kwenda vizuri. Me naona, kama iinawezekana, mawazo aweke namba yake hapa hewani, ili na sisi wenye vijisenti vichache tuwe tunamtumia kwa M - pesa ili awe anapata japo maji ya kukata kiu anapohutubia. Tusiishie kutoa pongezi nyuma ya keyboards za computer zetu, it does not help! Ni mawazo tu.
 
Bigman huyu anatisha, nitoe mwito, kwa vijana wote, kama inawezekana, vijana wa CHADEMA TUSIISHIE kusema big up Mawazo, twende mbali zaidi kwa kumuwezesha huyu KAMANDA kiuchumi ili kazi zake ziweze kwenda vizuri. Me naona, kama iinawezekana, mawazo aweke namba yake hapa hewani, ili na sisi wenye vijisenti vichache tuwe tunamtumia kwa M - pesa ili awe anapata japo maji ya kukata kiu anapohutubia. Tusiishie kutoa pongezi nyuma ya keyboards za computer zetu, it does not help! Ni mawazo tu.
naunga hoja mkuu!ushindi wa cdm ni vijijini sasa
 
Hongera sana Kamanda Mawazo ukitoka Visiwani utajifunza mengi sana niliwahi kuwa huko pia.Kuna changamoto nyingi sana na hata serikali haijishughulishi kupeleka miundo mbinu kweli wananchi wametelekezwa sana.
 
Ninayo namba ya kamanda Mawazo ila kwa sasa nadhani anaendelea na mikutano kuwaelimisha wadanganyika! Usiku nitamtafuta kumomba ruhusa ya kuiweka hapa. Huyu jamaa tangu mwezi wa 12 mwaka jana najitahidi kukutana naye inashindikana, Kila nikienda Mwanza anasema yuko poli.
 
Ninayo namba ya kamanda Mawazo ila kwa sasa nadhani anaendelea na mikutano kuwaelimisha wadanganyika! Usiku nitamtafuta kumomba ruhusa ya kuiweka hapa. Huyu jamaa tangu mwezi wa 12 mwaka jana najitahidi kukutana naye inashindikana, Kila nikienda Mwanza anasema yuko poli.

Please tuwekee hiyo number verified by mods-tutashukuru pia aki acknowledge kuipokea. We are proud of you Mawazo.
 
Back
Top Bottom