crabat
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 4,323
- 2,210
Kamamda Kova tunajua umafatilia Jamii forum .
Jiji lako limevamiwa na wezi na matapeli kutoka Italy wako wengi kwa uchache nimewashuhudia kama 6 katika gari tatu aina ya RAv 4 tofauti wakizunguka jijini moja ya gari hizo ina namba T 303 CBM.
Hawa wezi waki mafia kutoka Italy wana uza mali feki ikiwamo suit za china wana jidai ni za Italy na huwa ukisimama tu wanakufata na kuingiza suit au poti ndani ya gari yako na kuanza kuku ngania umlipe.
Ni vinganganizi sana.
Hawa wataliano ni mtandao mkubwa wamekua wakifanya hivi nchi nyingi na hutumia gari za kukodi na baada ya kutapeli huondoka hotel wanazokaa na kuacha deni.
Wametapeli sana Canada USA Uae Qatar UK nk
Kamanda kova tuma vijana wako mitaani hasa maeneo ya masaki na msasani wamejaa na wanavamia sana ma TX na wenye magari.
Tafadhali chukua hatua kabla watanzania hawajalizwa na mafia hawakwanza n8 kuifatilia gari hio ilotajwa hapo juu na kuukamata mtandao wao wa kuuza suit ya $30 kwa $500
Jiji lako limevamiwa na wezi na matapeli kutoka Italy wako wengi kwa uchache nimewashuhudia kama 6 katika gari tatu aina ya RAv 4 tofauti wakizunguka jijini moja ya gari hizo ina namba T 303 CBM.
Hawa wezi waki mafia kutoka Italy wana uza mali feki ikiwamo suit za china wana jidai ni za Italy na huwa ukisimama tu wanakufata na kuingiza suit au poti ndani ya gari yako na kuanza kuku ngania umlipe.
Ni vinganganizi sana.
Hawa wataliano ni mtandao mkubwa wamekua wakifanya hivi nchi nyingi na hutumia gari za kukodi na baada ya kutapeli huondoka hotel wanazokaa na kuacha deni.
Wametapeli sana Canada USA Uae Qatar UK nk
Kamanda kova tuma vijana wako mitaani hasa maeneo ya masaki na msasani wamejaa na wanavamia sana ma TX na wenye magari.
Tafadhali chukua hatua kabla watanzania hawajalizwa na mafia hawakwanza n8 kuifatilia gari hio ilotajwa hapo juu na kuukamata mtandao wao wa kuuza suit ya $30 kwa $500