Zito,zito zito,kwa faida ya nani,Ebu jadili ISSUES za maana badala ya watu,
Mnalipwa kwa kumjadili huyu kijana,tumechoka na hoja za zito.
Zitto naye ni hoja ya maana.... kama chama kisipomshughulikia vizuri chama kitaanguka kutokana na ticktack za huyu bwana
Binafsi nina mtazamo tofauti kidogo juu ya Mh. ZItto, naona anachosimamia licha tunakiona si cha kiungwana ndani ya chama ila kina MANUFAA sana kwa mustakabali wa CDM
Binafsi nina mtazamo tofauti kidogo juu ya Mh. ZItto, naona anachosimamia licha tunakiona si cha kiungwana ndani ya chama ila kina MANUFAA sana kwa mustakabali wa CDM
Binafsi nina mtazamo tofauti kidogo juu ya Mh. ZItto, naona anachosimamia licha tunakiona si cha kiungwana ndani ya chama ila kina MANUFAA sana kwa mustakabali wa CDM
Hii nieiona kwenye Face Book page ya rafiki yangu wa kwenye face book
Kweli wazee huona mbali, Hongereni wazee wa CHDM, Zitto angekuwa Mwenyekiti wa Chadema leo hii CHDM kingekuwa wapi? tujadili
Login | Facebook
Zitto naye ni hoja ya maana.... kama chama kisipomshughulikia vizuri chama kitaanguka kutokana na ticktack za huyu bwana