Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,276
- 6,585
Kuna jamaa wa Iringa kitambo hicho alitoa song moja kaliiii akapotea mazima,song lilikuwa linaitwa Jackiline
Wimbo ulikuwa na kiitikio hiki
"Mtoto ameumbika,Jackline
sura kama malaika, jackiline
na mwisho wa maisha yake, jackline
ulikuwa wa kutisha, jackline
inasikitisha, jackline"
Dah najua jamiiforum hakikosekani kitu,hii ni google ya Tanzania
Kwa anayeweza nisaidia kuipata hii nyimbo au kumjua analiyeimba hii nyimbo ili niitafute
OLD is Good all the Time
By Deadbody
Wimbo ulikuwa na kiitikio hiki
"Mtoto ameumbika,Jackline
sura kama malaika, jackiline
na mwisho wa maisha yake, jackline
ulikuwa wa kutisha, jackline
inasikitisha, jackline"
Dah najua jamiiforum hakikosekani kitu,hii ni google ya Tanzania
Kwa anayeweza nisaidia kuipata hii nyimbo au kumjua analiyeimba hii nyimbo ili niitafute
OLD is Good all the Time
By Deadbody