Kama we ndo kidume hapo ungefanyaje?

Kama we ndo kidume hapo ungefanyaje?

The master

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
289
Reaction score
196
Mwanaume karudi nyumbani mke anauliza:
MKE: Mbona unanukia pafyum ya kike?

MME: Kuna dada tulikuwa tunabinyana naye kwenye daladala ilikuwa imejaa sana.

MKE: Na hiyo lipstick kwenye shati imetoka wapi?

MME: Kuna wageni tulikuwa tunakumbatiana nao kutoka Zambia walitutembelea ofisini kwetu.

MKE: Na hiyo kondom iliyotumika kwenye mfuko wako wa suruali?

MME: Bhanae mi nalala nimechoka sana kazini usinisumbue.

MKE: Lazima nikuulize mme wangu. Mwenzi kila kitu naacha huko huko nikirudi nyumbani niko shwari.

MME: Ati nini mke wangu???

MKE: Mi nalala bhana nimechoka.

Unafikiri nini kilifuatia?
 
Tayari ni story sasa wewe unataka nifanyeje hapa!
 
hapo muendelezo ni kwamba walicheza mechi kali
 
Hahaha, peleka jokes
Sent from my RM-846_im_mea3_286 using Tapatalk
 
Mbwa kala mbwa hapo
Sent from my RM-846_im_mea3_286 using Tapatalk
 
Mwanaume karudi nyumbani mke anauliza:
MKE: Mbona unanukia pafyum ya kike?

MME: Kuna dada tulikuwa tunabinyana naye kwenye daladala ilikuwa imejaa sana.

MKE: Na hiyo lipstick kwenye shati imetoka wapi?

MME: Kuna wageni tulikuwa tunakumbatiana nao kutoka Zambia walitutembelea ofisini kwetu.

MKE: Na hiyo kondom iliyotumika kwenye mfuko wako wa suruali?

MME: Bhanae mi nalala nimechoka sana kazini usinisumbue.

MKE: Lazima nikuulize mme wangu. Mwenzi kila kitu naacha huko huko nikirudi nyumbani niko shwari.

MME: Ati nini mke wangu???

MKE: Mi nalala bhana nimechoka.

Unafikiri nini kilifuatia?

wameokotana hao bwanah hamna kitu humoo
 
Back
Top Bottom