The master
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 289
- 196
Mwanaume karudi nyumbani mke anauliza:
MKE: Mbona unanukia pafyum ya kike?
MME: Kuna dada tulikuwa tunabinyana naye kwenye daladala ilikuwa imejaa sana.
MKE: Na hiyo lipstick kwenye shati imetoka wapi?
MME: Kuna wageni tulikuwa tunakumbatiana nao kutoka Zambia walitutembelea ofisini kwetu.
MKE: Na hiyo kondom iliyotumika kwenye mfuko wako wa suruali?
MME: Bhanae mi nalala nimechoka sana kazini usinisumbue.
MKE: Lazima nikuulize mme wangu. Mwenzi kila kitu naacha huko huko nikirudi nyumbani niko shwari.
MME: Ati nini mke wangu???
MKE: Mi nalala bhana nimechoka.
Unafikiri nini kilifuatia?
MKE: Mbona unanukia pafyum ya kike?
MME: Kuna dada tulikuwa tunabinyana naye kwenye daladala ilikuwa imejaa sana.
MKE: Na hiyo lipstick kwenye shati imetoka wapi?
MME: Kuna wageni tulikuwa tunakumbatiana nao kutoka Zambia walitutembelea ofisini kwetu.
MKE: Na hiyo kondom iliyotumika kwenye mfuko wako wa suruali?
MME: Bhanae mi nalala nimechoka sana kazini usinisumbue.
MKE: Lazima nikuulize mme wangu. Mwenzi kila kitu naacha huko huko nikirudi nyumbani niko shwari.
MME: Ati nini mke wangu???
MKE: Mi nalala bhana nimechoka.
Unafikiri nini kilifuatia?