Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Nimekuwa nikiwasikiliza VIONGOZI Mbali Mbali wa CCM wakijinasibu kwa Wananchi kuwa WAPINZANI hawana HOJA na Wameishiwa HOJA
Huwa Najiuliza HOJA ni NINI ambazo WAPINZANI Wameishiwa? Sipati JIBU kwani hata Wao CCM wanaposema hivyo Hawafafanui ni HOJA zipi Ambazo WAPINZANI Wameishiwa.
Binafsi NAAMINI kuwa WAPINZANI wana HOJA na ndio Maana CCM inatumia NGUVU KUBWA ya SERIKALI kuwadhibiti WAPINZANI.
Kwa Mfano
Kwanini CCM inazuia
MIKUTANO ya
UPINZANI ya NDANI
na ya HADHARA?
Kwanini CCM inafanya
MIKUTANO pekee
Yake kama Sio
Kuwaogopa
WAPINZANI?
Kwanini
KAMATAKAMATA kwa
WAPINZANI imekuwa
KAWAIDA tena Siku
hizi Mpaka Kwenye
NYUMBA za IBADA?
Kwanini WAPINZANI
wanabambikiziwa
KESI
Kwanini CCM
Inaogopa KATIBA
MPYA
Kwanini CCM haitaki
TUME HURU ya
UCHAGUZI
Kwanini CCM
inanunua WAPINZANI
na Kuwapa VYEO na
UBUNGE?
Kwanini CCM
Inawakumbatia kwa
NGUVU KUBWA
WABUNGE 19
Waliofukuzwa
Uanachama na
Chama Chao?
Kwanini CCM Ilivuruga
UCHAGUZI wa
SERIKALI
za MITAA 2019 na
UCHAGUZI MKUU
2020?
MATUKIO yote hayo ni USHAHIDI TOSHA kuwa UPINZANI una HOJA ndio maana NGUVU KUBWA inatumika Kuudhibiti
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Huwa Najiuliza HOJA ni NINI ambazo WAPINZANI Wameishiwa? Sipati JIBU kwani hata Wao CCM wanaposema hivyo Hawafafanui ni HOJA zipi Ambazo WAPINZANI Wameishiwa.
Binafsi NAAMINI kuwa WAPINZANI wana HOJA na ndio Maana CCM inatumia NGUVU KUBWA ya SERIKALI kuwadhibiti WAPINZANI.
Kwa Mfano
Kwanini CCM inazuia
MIKUTANO ya
UPINZANI ya NDANI
na ya HADHARA?
Kwanini CCM inafanya
MIKUTANO pekee
Yake kama Sio
Kuwaogopa
WAPINZANI?
Kwanini
KAMATAKAMATA kwa
WAPINZANI imekuwa
KAWAIDA tena Siku
hizi Mpaka Kwenye
NYUMBA za IBADA?
Kwanini WAPINZANI
wanabambikiziwa
KESI
Kwanini CCM
Inaogopa KATIBA
MPYA
Kwanini CCM haitaki
TUME HURU ya
UCHAGUZI
Kwanini CCM
inanunua WAPINZANI
na Kuwapa VYEO na
UBUNGE?
Kwanini CCM
Inawakumbatia kwa
NGUVU KUBWA
WABUNGE 19
Waliofukuzwa
Uanachama na
Chama Chao?
Kwanini CCM Ilivuruga
UCHAGUZI wa
SERIKALI
za MITAA 2019 na
UCHAGUZI MKUU
2020?
MATUKIO yote hayo ni USHAHIDI TOSHA kuwa UPINZANI una HOJA ndio maana NGUVU KUBWA inatumika Kuudhibiti
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app