Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Mtu ambae ana mawazo mgando anaweza kuuliza huyu jamaa labda hana akili timamu! Amejua vipi akili za wanaChato?
Kwa ufupi nimekaa Chato kama wiki nzima ili nishuhudie tukio la kuzimwa mwenge maana zilikuwa ni mbio maalumu. Ok zimeisha.
Mimi nikasema sitageuka home(kapuni) nikapita mitaa ya Chato Central kuna vijiwe kibao vya kahawa na muhimu kwa kudaka habari. Nikachombeza juu ya Dk Kalemani vipi wanannchi wamepokea vipi timuliwa yake?
Majibu ni kuwa hafai kabisa, hajawahi kuwa na msaaada. Hana lolote, hajawahi kusaidia jimbo lake. Na kwa mantiki hii nikajiuliza hivi 2025 atapata hata ubunge?
Kwa ufupi nimekaa Chato kama wiki nzima ili nishuhudie tukio la kuzimwa mwenge maana zilikuwa ni mbio maalumu. Ok zimeisha.
Mimi nikasema sitageuka home(kapuni) nikapita mitaa ya Chato Central kuna vijiwe kibao vya kahawa na muhimu kwa kudaka habari. Nikachombeza juu ya Dk Kalemani vipi wanannchi wamepokea vipi timuliwa yake?
Majibu ni kuwa hafai kabisa, hajawahi kuwa na msaaada. Hana lolote, hajawahi kusaidia jimbo lake. Na kwa mantiki hii nikajiuliza hivi 2025 atapata hata ubunge?