kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,880
- 3,511
Timu za Algeria huwa na kawaida ya kutotishika na mambo yoyote yanayofanyika nje ya uwanja. Wao wanachojua ni kutembeza boli na hii imezifanya timu zake nyingi kupata matokeo mazuri kwenye mechi zao ikiwemo na timu yao ya taifa.
Yanga Wana mechi na CR BEROUZDAD ukiangalia maandalizi Yao mengi ni ya nje ya uwanja kama ulozi na kuipa mechi majina ya wachezaji.
Yanga walicheza na USM ALGERS mechi muhimu ya fainali na wakachezea 2- 1 timu ambayo haifiki hata nusu ya uwezo wa CRB Kwa hiki naamini kabisa jumamosi watapigwa tena.
Yanga Wana mechi na CR BEROUZDAD ukiangalia maandalizi Yao mengi ni ya nje ya uwanja kama ulozi na kuipa mechi majina ya wachezaji.
Yanga walicheza na USM ALGERS mechi muhimu ya fainali na wakachezea 2- 1 timu ambayo haifiki hata nusu ya uwezo wa CRB Kwa hiki naamini kabisa jumamosi watapigwa tena.