Ingawaje umeiweka hii kama kejeli, hakika hii yaweza kutokea.
Check historia ya nchi mbali mbali. Angalia Sudan.
Waarabu wa Sudan walikuwa na kejeli kama wewe, na rais akatoa tamko kuwa wanataka kuifanya Sudan yote iwe ya waarabu (to 'arabise' the whole of Sudan !!) hapo ndio ulikuwa mwanzo wa uhuru wa sudan kusini.
Hii yaweza kutokea Tanzania.
Viongozi wa Tanzania wanachofanya ni ku-ifisadi Tanzania nzima (to corrupt the whole of Tanzania).
kama ulivyosema wewe mwenyewe, huo unaweza kuwa mwanzo wa taifa la Arusha.
{Be very careful with what you wish for, because you may end up getting it !!!}