Makyomwango
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 322
- 79
yani wewe unalipwa na serikali ya ccm alafu unasema ni cdm..ngoja wakusikie
Pole sana kwa upofu ulionao, mtumishi wa umma analipwa kwa kodi yako na yangu na wala siyo serikali ya ccm. Mawazo ya watu kama wewe ndiyo yaliyotufanya tuendelee kuwa masikini hata baada ya miaka 50 ya uhuru. kumbuka kwa kwamba sasa hivi tunatawaliwa na mkoloni mbaya kuliko hata waalabu, wajerumani na waingereza walivyowatawal baba na babu zetu.
Funguka ndugu, tuondokane na mkoloni mbaya anayeitwa CCM