Kama unaichukia CHADEMA we ni mchawi, soma kauli mbiu hii mpya

yani wewe unalipwa na serikali ya ccm alafu unasema ni cdm..ngoja wakusikie

Pole sana kwa upofu ulionao, mtumishi wa umma analipwa kwa kodi yako na yangu na wala siyo serikali ya ccm. Mawazo ya watu kama wewe ndiyo yaliyotufanya tuendelee kuwa masikini hata baada ya miaka 50 ya uhuru. kumbuka kwa kwamba sasa hivi tunatawaliwa na mkoloni mbaya kuliko hata waalabu, wajerumani na waingereza walivyowatawal baba na babu zetu.

Funguka ndugu, tuondokane na mkoloni mbaya anayeitwa CCM
 
Ingawaje umeiweka hii kama kejeli, hakika hii yaweza kutokea.
Check historia ya nchi mbali mbali. Angalia Sudan.
Waarabu wa Sudan walikuwa na kejeli kama wewe, na rais akatoa tamko kuwa wanataka kuifanya Sudan yote iwe ya waarabu (to 'arabise' the whole of Sudan !!) hapo ndio ulikuwa mwanzo wa uhuru wa sudan kusini.
Hii yaweza kutokea Tanzania.
Viongozi wa Tanzania wanachofanya ni ku-ifisadi Tanzania nzima (to corrupt the whole of Tanzania).
kama ulivyosema wewe mwenyewe, huo unaweza kuwa mwanzo wa taifa la Arusha.
{Be very careful with what you wish for, because you may end up getting it !!!}
waarabu hawana akili,wana roho na ubongo kama wa samaki
tanzanians we r smart
ccm wamedhihirisha kua ni mafisadi
chadema wamedhihirisha kua ni wakanda na wana ukabila
katiba safi ndio kimbilio letu..!
Chadema there can go to hell..!
 
kama unaichukia chukua kama ya katani weka shingoni then......................au nenda mjini subiri gari lenye kazi pita barabarani uishie chadema zaidi na mkombozi wa kweli bila chadema mawaziri wasingebadilishwa , bila chadema wakuu wa wilaya wasingetupwa nje nani zaidi?? CDM DAIMA
 
yani wewe unalipwa na serikali ya ccm alafu unasema ni cdm..ngoja wakusikie

kunajamaa yangu Yupo wizara fulani KANIAMBIA KUA SIKU HIZI WATUMISHI WANAKAGULIWA KAMA WANAKADI ZA CCM, sasa umefika wakati wa Kuliweka bayana hilo.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom