Habari zenu wakuu.
Katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii nikakutana na Mwanamke analalamika kuhusu bwana wake kushindwa kumridhisha. Kiukweli mapenzi ni suala nyeti sana ambalo lina mambo mengi sana kiasi kwamba kama unahisi hauliwezi ni vyema ukakaa nalo mbali kuepusha aibu.
Huyo Dada kaandika hivi ;
"Ila wanaume wa skuhizi bwana , kanihangaikia karibia mwezi mzima, this weekend nikalionea huruma nikalipa, likaishia kupiga kimoja chali. Mpaka ikabid niondoke zangu home nikaisugue tu mwenyewe njikojoze.
"Sahizi linantext et "Ulienjoy" kha! Seriously! Kutiana penyewe hata halijui, kupandishana minyege tu. "
Mwanamke wa sampuli hiyo hapo juu ni ngumu kutulia kwenye ndoa endapo kama atakutana na mwanaume wa sampuli hiyo aliyoilalamikia.
Huyo mwanamke mpaka kusema "kutiana penyewe hata halijui, kupandishana minyege tu," basi tambua kuwa kashawahi kushughulikiwa na mtu mwengine ndio maana akaweza kulinganisha performance ya huyo jamaa wa kimoja na mtu mwengine.
Ushauri wangu kwa wanaume; ni vyema mkaoa wanawake waliojitunza kwani hakuna wanalolijua kama wanawake ambao hawakujitunza.
NB: Mwanaume fanya mazoezi, na kula vizuri kuimarisha nguvu zako.
IG - Mjanja_m1
X - Mjanja_m1
Katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii nikakutana na Mwanamke analalamika kuhusu bwana wake kushindwa kumridhisha. Kiukweli mapenzi ni suala nyeti sana ambalo lina mambo mengi sana kiasi kwamba kama unahisi hauliwezi ni vyema ukakaa nalo mbali kuepusha aibu.
Huyo Dada kaandika hivi ;
"Ila wanaume wa skuhizi bwana , kanihangaikia karibia mwezi mzima, this weekend nikalionea huruma nikalipa, likaishia kupiga kimoja chali. Mpaka ikabid niondoke zangu home nikaisugue tu mwenyewe njikojoze.
"Sahizi linantext et "Ulienjoy" kha! Seriously! Kutiana penyewe hata halijui, kupandishana minyege tu. "
Mwanamke wa sampuli hiyo hapo juu ni ngumu kutulia kwenye ndoa endapo kama atakutana na mwanaume wa sampuli hiyo aliyoilalamikia.
Huyo mwanamke mpaka kusema "kutiana penyewe hata halijui, kupandishana minyege tu," basi tambua kuwa kashawahi kushughulikiwa na mtu mwengine ndio maana akaweza kulinganisha performance ya huyo jamaa wa kimoja na mtu mwengine.
Ushauri wangu kwa wanaume; ni vyema mkaoa wanawake waliojitunza kwani hakuna wanalolijua kama wanawake ambao hawakujitunza.
NB: Mwanaume fanya mazoezi, na kula vizuri kuimarisha nguvu zako.
IG - Mjanja_m1
X - Mjanja_m1