Kama unafikiri Tanzania itawekewa vikwazo na nchi wahisani, basi unajidanganya

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,467
Leo jioni saa 12 nilikuwa nasikiliza taarifa ya habari katika redio E fm ya jijini Dsm,nimesikia habari ya kwamba makamu wa raisi wa China katuma salamu za pongezi nchini Zanzibar juu ya ushindi wa Dr Shein.na wamesisitiza kuwa wataendelea kushikamana naTanzani katika kuimarisha uchumi siiu zote.sasa wewe mwenzangu na mimi ambaye ulidhani hizo nchi zitatuwekea vikwazo basi ujue unajidanganya tu,hata nchi aahisani zingine zitaendelea kuwa pamoja na Tz tu,hapa pana fursa za wao kunufaika bhana,harafu we unadhani wakikata misaada watanufaika vipi? Sasa kama China imepongeza ushindi wa kishindo aliopata Dr shein unategemea nini? Ukawa tujipange upya sana la sivo tutapelekwa na ccm hadi tuombe pooo.
 
Apo US inabidi nae atoe pongezi maana ukisusa wenzio wala.
Sasa ni kujipanga for 2020
 
Apo US inabidi nae atoe pongezi maana ukisusa wenzio wala.
Sasa ni kujipanga for 2020
ktk watanzania ambao hawana uchungu na nch yao ww na1, Na maandiko yako yanaonyesha Jins gan maccm mlivyo Ishiwa uwezo wa kufkir,..Eti u.s.a ukisusa wenzio wala..yan unafurai nch yako inavyogawanywa bila faida
 
Nchi yetu ni masikini hata haijiwezi, labda tuwekewe vikwazo vya kunyimwa misaada ..

Wenzetu wanawekewa vikwazo kwa sababu maalum, nazo ni za kiuchumi zaidi..
 
Waporaji wamebadili mbinu, zamani walikuwa wanafaidi rasilimali za nchi zinazopigana vita ya wao kwa wao lakini siku hizi wanafadhili watawala wanaonyamazisha wale ambao wangewapigia kelele (watchdog) wezi hao. Na ndicho kinachoendelea TZ, UG (kuna mafuta) na maeneo mengine katika Afrika.
 
Mchina siku zote hua mgumu sana kuweka vikwazo, kumbuka wakati nchi zote zilimuekea North Korea vikwazo yeye aliendelea na biashara na North Korea kama kawaida.
 
ktk watanzania ambao hawana uchungu na nch yao ww na1, Na maandiko yako yanaonyesha Jins gan maccm mlivyo Ishiwa uwezo wa kufkir,..Eti u.s.a ukisusa wenzio wala..yan unafurai nch yako inavyogawanywa bila faida
Napata shida namna unavyohusianisha post na chama.
Anyway ndo uwezo wa kufikilia wa vijana wetu wa siku izi sio kosa lako
 
Unajua kuna watu vilaza Tanzania wanashindwa kujua kwamba wote wataathirika kama tutawekewa vkwazo, wspo wanaotamani hilo kwa kutojua na wengine watz wanaotamani tz iingie kwenye migogoro bila kujua kwamba ni wao na familia zao ndo wakaoumia.
 
Leo jioni saa 12 nilikuwa nasikiliza taarifa ya habari katika redio E fm ya jijini Dsm,nimesikia habari ya kwamba makamu wa raisi wa China katuma salamu za pongezi nchini Zanzibar juu ya ushindi wa Dr Shein.na wamesisitiza kuwa wataendelea kushikamana naTanzani katika kuimarisha uchumi siiu zote.sasa wewe mwenzangu na mimi ambaye ulidhani hizo nchi zitatuwekea vikwazo basi ujue unajidanganya tu,hata nchi aahisani zingine zitaendelea kuwa pamoja na Tz tu,hapa pana fursa za wao kunufaika bhana,harafu we unadhani wakikata misaada watanufaika vipi? Sasa kama China imepongeza ushindi wa kishindo aliopata Dr shein unategemea nini? Ukawa tujipange upya sana la sivo tutapelekwa na ccm hadi tuombe pooo.

= halafu
 
Back
Top Bottom