kama una vigezo vyote vya kuwa Mume Bora.


Mimi mwenyewe natafuta myu aliye serious.Nitafute kwenye FB Tumia jina Mussa Nkucha ili unipatie namba yako tuwasiliane.AHSANTE SANA.
 
Daah me nataka demu 2 kwa kpind hk cha mpito,kama uko ready kuwa demu wangu 2 n pm na me me.........
 
MMMHHHHH!.........
Nahic km vigezo ulivyotaja vilikuwa unanilenga mie bt usijali, let me find u for more detaailz!..
2tafutane km vp bt age iz nothing bt a number.
 
unatafuta mume alf hujali dini! R u serious kweli? Au unatafuta companion tu?
 

mwaka huu ntawaoeni wote mnaotafuta waume, kwani sifa zote nnazo. Ni wewe tu
 
katarina mie nina sifa zote ila napenda mpira wakati mwingine nalala huko huko kutokana na mechi nyingine kufanyika usiku sana
 
Miaka ipi sasa unayo? Litendee haki jukwaa some people are serious here, hili siyo jukwaa la jokes please.
 
Vipi dada yangu mbona hujatupatia mrisho nyuma, umeshapata huyo mtu au bado unatafuta tu hadi sasa? Toa njia mbadala ya mawasiliano.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…