Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,373
πππNmekutana gari yenye plate number PT nikaomba wanipatie pregnant test saivi tunaelekea stakishali nadhan ni kwenye maduka yao
πππNmekutana gari yenye plate number PT nikaomba wanipatie pregnant test saivi tunaelekea stakishali nadhan ni kwenye maduka yao
πππjana nmetoka kuangalia movie ya kivita,na mm nkajiona kama nmeshakua stering vle..nkachkua mwiko nkatokea nao barabaran nkasimamisha difenda la FFU nkawauliza mnatoka wapi na mnaenda wap?
Hadi sasa hivi nupo kitandan napewa matibabu, @@@AKILI YANGU NAIJUA MWENYEWE!!!!...
Hahaaaaaaaaa..... Duuh..!!!Nlitaka kumuweka *Mugabe Kama profile
picture ila nikakumbuka badae nikitaka kumtoa atakataa tu*
Wale wanawake ambao hujifanya wamelala fofofoo alafu ukianza kuwavua chupyi taratiibu, wanainua kiuno ili kukurahisishia uitoe vizuri.
Popote mlipo Mungu awabariki...!
Hii noma sanaaJana nimepita njia ya mkato makaburini, warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka eti tunaogopa kupita peke yetu na mimi nikawajibu hata mimi nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana. Wakazimia.
Sipendagi kufatwa fatwa.
πππ πDuuh Kuna watu Wana roho ngumu jamani..!!Leo nimemwona jamaa akivuta sigara kanisani ndani bila hata wasiwasi,Yaani nilitetemeka mpaka nikaangusha bia yangu..!!
Utoto noma no.3Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni burudani tupu.
Ukivisoma mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja.
Tuanze na hivi:-
1. Leo kidogo nipigwe na mwanamke baada ya lifti kusimama, wakati tupo kwenye lifti Nilikua nayaangalia maziwa yake akasema "Bonyeza moja" mimi si nikalibonyeza yaani hadi sasa bado najiuuliza nilipokosea?
2. Hivi utajisikieje utakaposikia rafiki yako wa karibu hajaja kwenye mazishi yako? Nadhani mimi sitamwongelesha tena!
nafikiri nakaribia kupona
3. Nimenunua chips ili nile. Kwa bahati mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa karibu na mimi akaanza kuzililia. Imebidi nivae earphones. Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi.
4. Jana nimepita njia ya mkato makaburini, warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka eti tunaogopa kupita peke yetu na mimi nikawajibu hata mimi nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana. Wakazimia.
Sipendagi kufatwa fatwa.
....πππDuuh Kuna watu Wana roho ngumu jamani..!!Leo nimemwona jamaa akivuta sigara kanisani ndani bila hata wasiwasi,Yaani nilitetemeka mpaka nikaangusha bia yangu..!!
Hatari SanaAlie gundua style za mbuzi kagoma kwenda au kichuma mboga au alie gundua punyeto kama angeweka haki miliki yaani kila ukiitumia unamlipa familia yake ingekuwa na mpunga mrefu sana.