Jumatatu leoDuh! Leo lini?
Mambo vp? Hujambo mamyHahahahaha hapo lazima mtu ashinde kesi
Hizi mvua za Dar sasa zimezidi, nimepanda gari Kariakoo niende nyumbani, napishana na nyumba yangu Jangwani inaelekea Posta
hahahahahahahahaaa ko dgo akarudi kulalaAsubuhi ya leo mwanangu ametaka nimwekee katuni kwenye tv, wakati nipo kitandani nimechoka, nilichomjibu "Makatuni wamekufa mwanangu"
Kaenda nje kuchezahahahahahahahahaaa ko dgo akarudi kulala