Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

fb24f76e416b7ca91801aa7b84400064.jpg
 
Dogo wa miaka 8 alishtakiwa kwa kubaka.Mahakamani,wakili wake ambaye alikuwa ni wa kike,alikatoa kauume ka dogo nje kama ushahidi na kukashikilia,akasema"ndugu hakimu angalia,anaweza kubaka kweli?yaani haka tuu?"...dogo akamnong'oneza wakili wake,"usikatingishe,tutashindwa kesi!!
Hahahahaa
 
Ndoa ilio acha watu mido mo wazii !!!!/
Bwana harus
Alipo ulizwa unakitu gani kama ishara yaupendo wenu.?
Akafungua zipu akaitoa nakuanza kuingiza kwa mkewe polepole.
Biarus nae akaing'ang'aniza.hadi ikaingia yote bac watu wote pale wakashangilia kwanguvu nakupiga makofi. Kwani wao hawakuamini kwajinsi ambavyo ilikua inaingia ile
PETE YA NDOA .
Sija penda ulicho fikiria.
 
Mwalim aliingia darasan akawataka kila mwanafunz ataje kaz ya baba zao na mama zao.....

*JUMA* baba yang dereva mama mwalimu...…..

*VICTOR* baba yang mfanyabiashara mama mkulima......

*KISHOKA* mama yang *MALAYA* baba simjui.......

*Mwalimu* "pumbavu" nikukute ofcn umwambie mkuu ulichokisema apa..

Kishoka akaondoka kuelekea kwa mwl mkuu....baada ya dakika chache kishoka anakuja anatabasamu huku anakula biskut...

*Mwalimu:* mwl mkuu kakupa adhabu Gan..!!
*Kishoka:* kaniambia nimpe namba ya MAMA.........
Hatar saaan
 
Back
Top Bottom