Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

261daffa299afa29cabc344ee8f37006.jpg
<br />Sasa huyu akipita pale Central si watampigia saluti khaaa
Benderaa
 
Majivuno mda mwingn hayafai,jamaa mmoja alipanda daladala kidogo sim ikaita akaitoa mfukon alipoangalia akaona mke wake ndo anapiga,jamaa kwa kutaka kujionyesha akapokea cm na kuweka loud speaker akiwa na abiria wenzake, jamaa akauliza mke wangu muda huu umenimiss au tatizo nini nambie bac baby,mke akajibu sijakumiss nataka kujua kwa nini umevaa chupi ya mtoto? abiria walicheka mpaka kulaliana
 
JAMAA ALIMPENDA BINTI WA KILOKOLE JINSI YA
KUMWINGIA IKAWA NGUMU AKAAMUA ASOME
VIFUNGU VINGI VYA BIBLIA ILI AMKAMATE
KIRAHISI MAZUNGUMZO YAO YALIKUWA HIVI::
Mwanaume: sister mambo
Sister: mambo kwa yesu
Mwanume: Sister samahani . . . unampenzi?
Sister: hapana sihitaji mpenzi!
Mwanaume: mwanzo 2:18 mungu akasema sio
vema mwanaume akabaki peke yake nitamfanyia
msaidizi.
Sister: Lakini Mimi sikupendi . . . .. . nampenda yesu!
Mwanaume :1yohana 4:20 MTU akisema
anampenda mungu naye humchukia ndugu yake ni
mwongo kwamaana asiyempenda ndugu yake
amwonaye atampendaje mungu asiyemwona?
Sister: Nitaaminije kwamba maneno yako uongeayo
ni kweli
Mwanaume: mathayo 12:34-36mtu mwema katka
akiba njema ya moyo wake hutoa mema na MTU
mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya
Ila mimi Kinywa changu huongea maneno
yaliyoujaza moyo wangu
Sister:: nitaaminije hayo uongeayo ni kweli?
Mwanaume:: Marko 13:41 mbingu na nchi zitapita
lakini maneno yangu hayatapita kamwe
Sister:: mbona wako wako wanawake wengi sana
kwanini umeniambia Mimi tu??
Mwanaume:: mithali 31:29 binti za watu wengi
wamefanya mema lakini wewe umewapita wote!
Sister:: ni nini kilichokufanya unipende mimi na si
wengne nimekuvutia nini ?
Mwanaume ::wimbo bora 4:7 uu mzuri sana ndani
yako Hamna hila
Sister::: ni kweli? Mimi sio mzur wa kupendwa na
wewe !!
Mwanaume::::mithali 31:30 upendeleo hudanganya
na uzur ni ubatili Bali mwanamke amchae bwana
ndiye atakaye sifiwa
Sister ::: ni nini kitatokea nikikubali na kusema ndio!
Mwanaume ::: mwanzo 2:4 mwanaume atawaacha
wazazi baba na mama ataambatana na mkewe na
hao wawili hawatakuwa wawili tens Bali mwili
mmoja.
Sister ::imekuwaje unajua sana maandiko utafikir
mchungaji
Mwanaume :: Joshua 1:8 kitabu hiki cha torati
kisiondoke kinywani mwenu Bali yatafakali maneno
yangu mchana na usiku ndipo utakapo zifanikisha
njia zako
Sister :: yaah!! Nakuona unampenda sana mungu
Mwanaume:: zabur 34:8 onjeni mwone kuwa bwana
ni mwema heri MTU yule anayemtumainia
Sister. ::mmmh bas nipe muda nifikirie kuhusiana na
hili
Mwanaume ::: wafilip 4:8 hatimaye mambo yeyote
yaliyo kweli ya staa ya haki yenye kupendeza yenye
sifa njema na wema wowote yatafakalini hayo
Sister ::: nimekubali nakupenda nami pia
Mwanaume :: ufunuo 22:21 Amen
RESPECT BOY...!!
FB_IMG_1498075912163.jpg
 
Pana mlevi mmoja alikuwa kanisani mara akaingia bint mrembo sana basi yule mrembo akaja kukaa jirani na mlevi jamaa akaona kama zali ikabidi atupe ndoano kilevilevi na kukitaja kiungo anacho omba kwa yule bint basi bint akahamaki na kumwambia mlevi "huoni aibu kutaja jambo hilo humu kanisani "mlevi nae kilevilevi akajibu "mbona wewe hukuona aibu kuja nayo humu?
Nb:majibu ya walevi sijui huwa wanayotoa wapi!
 
Majivuno mda mwingn hayafai,jamaa mmoja alipanda daladala kidogo sim ikaita akaitoa mfukon alipoangalia akaona mke wake ndo anapiga,jamaa kwa kutaka kujionyesha akapokea cm na kuweka loud speaker akiwa na abiria wenzake, jamaa akauliza mke wangu muda huu umenimiss au tatizo nini nambie bac baby,mke akajibu sijakumiss nataka kujua kwa nini umevaa chupi ya mtoto? abiria walicheka mpaka kulaliana


Hapo kwenye kulaliana ndio utamu wa mirinda nyeusi
 
Back
Top Bottom