Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Mke na mme walikuwa wamelala ghalfa mme akaanza kupiga kelele akiwa usingizini. Asubuhi ilipofika mke akauliza.... mke:Mme wangu mbona ulikuwa unapiga kelele usiku au ulikuwa unaota unakimbizwa.........?
Mme:Yaani bora ningeota nakimbizwa hata na simba mke wangu.......!!!! lakini nimeota nampigia tena kura Juma Poul Mafunguo!!!!!!!!.








Mi cmo bangi sijawahi vuta jamani........,,,,,()
 
4b998691b0425fb7474b4908a93b05bb.jpg


teh teh teh
 
BREAKING NEWZZ!!!

SERIKALI YATANGAZA NEEMA KWA WAFANYAKAZI SIKU CHACHE KABLA YA MEI MOSI.

Raisi atangaza ongezeko la mshahara kwa asilimia 45% kwa wafanyakazi wa sekta zote nchini ambapo kwa wafanyakazi wa sekta binafsi ongezeko hilo litatokana na mikataba waliowekeana na waajiri wao.

Ongezeko hilo ambalo ni kubwa ambalo halijawahi kutokea katika historia limelenga zaidi kwa wafanyakazi wote wa wote haswa wafanyakazi wa serikali. Hatua hii ni katika kutaka kuboresha maisha ya wananchi kwa ujumla.

Akiongea na waandishi wa habari raisi amesema anajiskia faraja kuona sasa maisha ya mfanyakazi yataboreka kuliko kipindi kingine chochote haswa wananchi wa pato la chini. Hata hivyo raisi huyo wa Brazil akutangaza ni lini ongezeko hilo litaanza ila ameahidi kuanza haraka iwezekanavyo.
 
Matokeo kidato cha nne, div 1 moja, div 2 moja , div 3 Na 4 hakuna, sifuri 200.
Afisa elimu: mkuu wa shule mbona wanafunzi wengi wamefeli
Mkuu wa shule: tumewaandaa wawe wakuu wa Mikoa Na wilaya
 
Leo nimeenda ghetto kwa mshikaji, nikaona kachukua kitu kama jiko kaweka mchele ndani ya nusu saa ukawa umeiva.. Leo kaniacha, nimebandika makande tangu asubuhi mpaka saa tatu hii usiku hayajaiva..

Nahisi lina ubaguzi maana linajua mgeni na mwenyeji..
Vipi umeme haujaisha tu.
 
Baba kutoka mashambani alipata safari ya kwenda Mombasa kwa biashara. Baada ya wiki moja akampigia simu mtoto wake kujulia hali ya nyumbani.

Baba: Alooo! Vipi hali zenu huko?

Mtoto: Tuko poa Baba, kila kitu sawa isipokua kidogo tu kulitokea shida

Baba: Shida gani??

Mtoto: Waujua ule ufagio wenye gongo refu? Basi lile gongo lake lilivundika.

Baba: Aaaah umenishtua, sineno tutanunua mwengine. Lakini nnani alouvunja?

Mtoto: Ni ngombe wetu aliuangukia.

Baba: Ngombe??

Mtoto: Naam alikua anakimbia kwa khofu maana zizi lilikua limeshika moto..

Baba: Ah moto! Lakini ngombe yuko salama?

Mtoto: Hapana baba ng'ombe alikufa.

Baba: Lahaulaaaa..... na ilikuaje zizi likashika moto?!

Mtoto: Kwa hakika moto ulianza kwa nyumba yetu ukaenea mpaka ukafika zizini.

Baba: Nyumba yetu imeshika moto??

Mtoto: Ndio Baba wajua yote ni huyu ndugu yangu Juma mungu amrehemu

Baba: Mungu amrehemu?! Kwani mwanangu Juma amekufa?

Mtoto: Ndio Baba Juma amekufa. Wajua alikua avuta sigara chumbani kwake sigara ikaanguka kwenye godoro na yeye amelala. Moto nyumba nzima.

Baba: Wanambia Juma siku hizi avuta sigara! Alianza lini mambo hayo?

Mtoto: Alianza wiki hii tu kwa sababu ya stress na huzuni nyingi tangu mama afe.

Baba: Mtumeeeee, mamako pia amekufa??

Mtoto: Ndio Baba lakini usijitie stress sana baba kama ni ufagio wallahi tutapata tu mwengine.
 
Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni full burudani!
Ukivisomo mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja!

Leo kidogo nipigwe na MWANAMKE baada ya LIFTI kusimama...wakati tupo kwenye lift Nilikua nayaangalia MAZIWA yake akasema "Bonyeza Moja" mi si nikalibonyeza?
Yaani had sasa
bado najiuliza nilipokosea.


Hivi Utajisikieje Utakaposikia Rafiki Yako wa Karibu Hajaja Kwenye Mazishi Yako ???!
Nadhani Mimi Sitamwongelesha Tena !!!!
I think nakaribia kupona


Nimenunua chips ili nile kwa bahat mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa next to me akaanza kuzililia.
Imebidi nivae earphones. Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..


Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia
Sipendagi kufatwa fatwa mm
Kweli hii toa stress
 
Back
Top Bottom