allen lugoley
Member
- Nov 5, 2014
- 66
- 37
H
Hahahaa ni kawaida sanaHalafu ukute wote walimu wa kiume
Hahahaa ni kawaida sanaHalafu ukute wote walimu wa kiume
hiyi imenimaliza kudadadekiUSIJIONE MJUAJI SAAAA…NA. Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika nyumbani. kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao. Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi, akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani" mama"hee embu tuoneshe mwanangu" jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?" wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili" akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu mezani" baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA
Hahaha...ku-babake wallahUvivu wabongo tumeanza mbali muone huyu baada ya kuchoka kusali Kila siku akaamua kuandika Sala kwenye karatasi na kubandika ukutani kwa hiyo ukifika muda wa kulala akawa anasemaje"ee Mungu Kama kawa pale ukutani AMINA" Kisha analala
RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?
JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, “Huyo nguruwe umeshamuondoa?’
Majambazi baada ya kuvamia na kufanikiwa kuiba ng'ombe wote si wakamchukua masai na kumfunga kamba kwenye mti kisha kuondoka zao.
Asubuhi palipokucha watu wakamuona masai kafungwa kamba si wakaenda kumfungua kisha kuanza kumpa pole.Nasai akajibu pole mpeni huyo ndama maana alidhani hii naniliu yangu ni chuchu ya mama yake yaani kainyonya usiku kucha kanipigisha bao 7 yaani hapa nilipo mwili wote unavuta.
Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia: Mkulima: Baba yako yupo? Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini. Mkulima: Mama yako? Mtoto: Nae kaenda mjini na baba. Mkulima: Kaka yako Howard yupo? Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa. Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu. Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.
Hahahahaha mpaka pen wamefunga kamba*Ukienda Kwa fundi nguo utakuta* *vitambaa kibao chini*
*Hata saluni pia kuna nywele nyingi chini*
*Lakini nenda Benk ata mia mbili hukuti yani ile peni pia imefungwa kamba
HahahahaThree robbers break into a bank, but when they open the safe, they find only boxes. One robber opens a box and finds cups full of yogurt. "We didnt find any money, but we got something to eat," he tells his partners. They eat their fill and leave. The next mornings newspaper headline reads, "Worlds Largest Sperm Bank Robbed."
hahahhahahahaaaMajambazi baada ya kuvamia na kufanikiwa kuiba ng'ombe wote si wakamchukua masai na kumfunga kamba kwenye mti kisha kuondoka zao.
Asubuhi palipokucha watu wakamuona masai kafungwa kamba si wakaenda kumfungua kisha kuanza kumpa pole.Nasai akajibu pole mpeni huyo ndama maana alidhani hii naniliu yangu ni chuchu ya mama yake yaani kainyonya usiku kucha kanipigisha bao 7 yaani hapa nilipo mwili wote unavuta.
Hahahashort girls are marriage materials while tall girls are building materials
*Ukienda Kwa fundi nguo utakuta* *vitambaa kibao chini*
*Hata saluni pia kuna nywele nyingi chini*
*Lakini nenda Benk ata mia mbili hukuti yani ile peni pia imefungwa kamba