Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

MIMI SIO WA SPORT SPORT...!

Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu, Jamaa wakaniambia nichukue nguo nikanyooshe room kwao maana hawataki pasi yao itoke.
Sasa leo amekuja mmoja wao kuazima mopper akasafishe room, nimemwambia aje adekie humu humu...

Jamaa kaondoka na dhani atakua kaenda kuchukua maji.
 
Kali kinoma hii!

===========================
Jana demu wangu kanipigia simu na kuniambia ameibiwa simu yake ya laki8.
nikamuuliza wapi kaniambia ameibiwa mjini nikampa pole alafu akainiambia nimpe laki4 na yeye analaki4 akanunue simu nyingine nikamwambia njoo geto uchukue. Mida ya saa 12:30 kashafika nikampa laki4 kaondoka kwenda kwao huku nyuma mm nikavaa mkoti mrefu na maski nikakimbia nikaenda kumsubiria mbele. Kaja kafika kwenye kona moja hivi nikaona hapahapa ndo pakumalizia mchezo fasta bila kupoteza mdu nika mpiga kabari ya maana na kuchukua laki8 yote nikatokomea zangu kufika geto2 akanipigia simu huku akiwa analia nikamuuliza kulikoni akaniambia amekabwa nakibaka na kunyang'anywa hela yote, nikamwambia arudi nije nipe nyingine akaja nikampa laki4 yake na mimi nikabakia na yakwangu halafu akaniomba nimsindikize hadi kwao anahofia kukabwa tena nikamwambia alale ataenda kesho.
maswala yakurudisha maendeleo nyuma sipendg laki8 yote ununulie simu wakati mm mwenye simu ya laki1 yenyewe sijawahi kununua
sipendagi ujinga mimi
 
Nyie wadada ambao wanaume wakiwatext mnajifanya hamjisikii kujibu na mkijibu mnajibu short hadi nakosa mood kukutext tena
Amini amini nawambia,, itafika kipindi mnataka wanaume wa kuwaoa na hamta pata hadi itafika hatua mtu akikusalimia "HABARI YA SAA HIZI" unamjibu "NDIO NIMEKUBALI"



Ndo nmemalizia kula unga
 
Okay, kumbe unaielewa hali yako!
Karibu..

Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji... Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote.
Sikumbuki nini kilitokea lakini nilijikuta nimelala mchangani watu wakiwa wamenizunguka huku wakisema niwashukuru sana wavuvi. Nadhani watakuwa wamenipa samaki wa bure.
Hahahaha umetisha Mkuu
 
DEMU ANATAKIWA KUWA MSHAMBA KIDOGO..

_Sio mtu anamjua mpaka Cheki Noris,Anord Shozniga,Michael Dadkof....Huna hata cha kumdanganya?...._

_Inatakiwa ukimuuliza "Baby unamjua HAZARD?" Anakujibu "Ni Yule Rafiki Yako Wa Kijijini?"_

Baby hivi POGBA unamjua?" Anakujibu "Si Ndo Yule Mtoto Wa Mama James?".

Sio Mtu Anajua Natimu Ya Mpira Bongo Mpaka Ulaya,Anaijua Hadi Kasimpasa Ya Uturuki..

Mtu Ukiangalia Nae The Walking Dead au Wrong turn Hata Hashtuki,Amekodoa Mi Macho Tu Mwanzo Mwisho.

Inatakiwa akiangalia Muvi za kutisha anakukumbatia Kumbatia "Baby Toa Bhana Mi Ntaota".....au "au Maskin si Atamuua Sasa"_

Sio Mtu Anaangalia Picha la Mavampire Anashabikia "Bora Life,Linakiherehere Sana!

Mi Napenda Mtu Nikimwambia "Leo Chelsea Anacheza na Man U"....yeye aniambie "Kumbe Kombe La Dunia Limeanza?".........._

_Sio Demu Anakutajia Mpaka First Eleven Ya BURNLEY...
DEMU GANI HUYOO!!!??

Time staki ujinga
...................
 
Kali kinoma hii!

===========================
Jana demu wangu kanipigia simu na kuniambia ameibiwa simu yake ya laki8.
nikamuuliza wapi kaniambia ameibiwa mjini nikampa pole alafu akainiambia nimpe laki4 na yeye analaki4 akanunue simu nyingine nikamwambia njoo geto uchukue. Mida ya saa 12:30 kashafika nikampa laki4 kaondoka kwenda kwao huku nyuma mm nikavaa mkoti mrefu na maski nikakimbia nikaenda kumsubiria mbele. Kaja kafika kwenye kona moja hivi nikaona hapahapa ndo pakumalizia mchezo fasta bila kupoteza mdu nika mpiga kabari ya maana na kuchukua laki8 yote nikatokomea zangu kufika geto2 akanipigia simu huku akiwa analia nikamuuliza kulikoni akaniambia amekabwa nakibaka na kunyang'anywa hela yote, nikamwambia arudi nije nipe nyingine akaja nikampa laki4 yake na mimi nikabakia na yakwangu halafu akaniomba nimsindikize hadi kwao anahofia kukabwa tena nikamwambia alale ataenda kesho.
maswala yakurudisha maendeleo nyuma sipendg laki8 yote ununulie simu wakati mm mwenye simu ya laki1 yenyewe sijawahi kununua
sipendagi ujinga mimi
Kweli wewe hupendagi ujinga
 
Kuna watu walikua wanagonga mlango wa chumba changu nikauliza nani? Wakajibu sisi Askari, nikauliza mnataka nini? Wakajibu fungua tunataka kuongea na wewe, nikauliza mpo wangapi? Wakasema tupo wa3, nikawaambia ongeeni wenyewe. Sipendagi ujinga .
Hao askari kweli wajinga, sasa wako watatu bado wanataka na wewe uongezeke muongee...:):):)
 
Kali kinoma hii!

===========================
Jana demu wangu kanipigia simu na kuniambia ameibiwa simu yake ya laki8.
nikamuuliza wapi kaniambia ameibiwa mjini nikampa pole alafu akainiambia nimpe laki4 na yeye analaki4 akanunue simu nyingine nikamwambia njoo geto uchukue. Mida ya saa 12:30 kashafika nikampa laki4 kaondoka kwenda kwao huku nyuma mm nikavaa mkoti mrefu na maski nikakimbia nikaenda kumsubiria mbele. Kaja kafika kwenye kona moja hivi nikaona hapahapa ndo pakumalizia mchezo fasta bila kupoteza mdu nika mpiga kabari ya maana na kuchukua laki8 yote nikatokomea zangu kufika geto2 akanipigia simu huku akiwa analia nikamuuliza kulikoni akaniambia amekabwa nakibaka na kunyang'anywa hela yote, nikamwambia arudi nije nipe nyingine akaja nikampa laki4 yake na mimi nikabakia na yakwangu halafu akaniomba nimsindikize hadi kwao anahofia kukabwa tena nikamwambia alale ataenda kesho.
maswala yakurudisha maendeleo nyuma sipendg laki8 yote ununulie simu wakati mm mwenye simu ya laki1 yenyewe sijawahi kununua
sipendagi ujinga mimi
 
Back
Top Bottom