Kama umetoka familia yenye imani hizi, jua una kazi nzito

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
1,702
3,352
Ukiona kwenye familia yenu kuna mambo haya, jua kuwa una mapambano makali sana na usipokaa imara nawewe LAZIMA uzame.

1. Kuwa na imani iliyopitiliza kwa vitu vya kufikirika.

2. Kusadiki kindakindaki mambo ya uchawi/ulozi/sangoma.

3. Kuamini kuwa hauwezi kutoka bila kuwafitini wengine na kupiga majungu .

4. Kuamini unaweza kutajirika kwa njia za mkato na harakaharaka.

5. Kuamini kindakindaki kwenye miujiza na rehema ya mja bila kufanya kazi.

6. Ushabiki kindakindaki na uliopitiliza kwenye michezo kama mipira, betting, ngumi.

7. Kuwa na uoga wa mawazo mapya na kuyafanyia kazi mawazo mapya.

8. Kuamini hauwezi kutoka bila kuwa chawa na kujikomba.

Endelea....
 
Kibongo bongo kwenye familia zetu kuna watu ambao wamepitiliza kwenye jambo fulani na huwa hawajali wao huishi maisha yao.

Mimi kwetu ni walokole huwahambii kitu yaani mjusi akatishe sebuleni bila kukemewa anabahati sana..

Alafu sasa nilikuwa na rafiki yangu huyo haipiti 2 week bila familia zima kubeba kwenda kwa waganga yaani hiyo ndio life style yao mwanafamilia akiota ndoto tu basi hao kukikucha wanabebana uelekeo kwa sangoma..
 
Ukiona kwenye familia yenu kuna mambo haya, jua kuwa una mapambano makali sana na usipokaa imara nawewe LAZIMA uzame.

1. Kuwa na imani iliyopitiliza kwa vitu vya kufikirika.

2. Kusadiki kindakindaki mambo ya uchawi/ulozi/sangoma.

3. Kuamini kuwa hauwezi kutoka bila kuwafitini wengine na kupiga majungu .

4. Kuamini unaweza kutajirika kwa njia za mkato na harakaharaka.

5. Kuamini kindakindaki kwenye miujiza na rehema ya mja bila kufanya kazi.

6. Ushabiki kindakindaki na uliopitiliza kwenye michezo kama mipira, betting, ngumi.

7. Kuwa na uoga wa mawazo mapya na kuyafanyia kazi mawazo mapya.

8. Kuamini hauwezi kutoka bila kuwa chawa na kujikomba.

Endelea....
9. Kuna baadhi ya biashara ambazo zikiwepo kwenye familia ni kama zinakuaga na laana fulani. Kama familia yenu inajihusisha nazo wewe kutoboa ni ngumu sana..
  • pombe haramu kama gongo
  • kuuza bangi
  • uganga wa kienyeji
  • ujambazi
  • madanguro
  • nk
 
9. Kuna baadhi ya biashara ambazo zikiwepo kwenye familia ni kama zinakuaga na laana fulani. Kama familia yenu inajihusisha nazo wewe kutoboa ni ngumu sana..
  • pombe haramu kama gongo
  • kuuza bangi
  • uganga wa kienyeji
  • ujambazi
  • madanguro
  • nk
true
 
Kibongo bongo kwenye familia zetu kuna watu ambao wamepitiliza kwenye jambo fulani na huwa hawajali wao huishi maisha yao.

Mimi kwetu ni walokole huwahambii kitu yaani mjusi akatishe sebuleni bila kukemewa anabahati sana..

Alafu sasa nilikuwa na rafiki yangu huyo haipiti 2 week bila familia zima kubeba kwenda kwa waganga yaani hiyo ndio life style yao mwanafamilia akiota ndoto tu basi hao kukikucha wanabebana uelekeo kwa sangoma..
ah..ah..mule mule
 
Majuzi kuna jamaa tumeongea mambo ya kifamilia maongezi marefu tu ya kama lisaa lizima ivi ila maongez yooote ni mambo ya ugomvi kati ya wanafamilia nani anamsema nani vibaya mambo ya wanandugu kuchawiana na mengine mengi km ayo.

ila ndoivo tena izo ndo familia zetu hauna cha kufanya inabd wew uwe mpole uwasikilize tu

maongez ya kujikomboa kiuchumi ni zero
 
Ukiona kwenye familia yenu kuna mambo haya, jua kuwa una mapambano makali sana na usipokaa imara nawewe LAZIMA uzame.

1. Kuwa na imani iliyopitiliza kwa vitu vya kufikirika.

2. Kusadiki kindakindaki mambo ya uchawi/ulozi/sangoma.

3. Kuamini kuwa hauwezi kutoka bila kuwafitini wengine na kupiga majungu .

4. Kuamini unaweza kutajirika kwa njia za mkato na harakaharaka.

5. Kuamini kindakindaki kwenye miujiza na rehema ya mja bila kufanya kazi.

6. Ushabiki kindakindaki na uliopitiliza kwenye michezo kama mipira, betting, ngumi.

7. Kuwa na uoga wa mawazo mapya na kuyafanyia kazi mawazo mapya.

8. Kuamini hauwezi kutoka bila kuwa chawa na kujikomba.

Endelea....
Ni lazima kila mtu aanzishe thread humu?
 
Back
Top Bottom