shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,806
- 4,304
Na mm niliyetahiriwa. Hospital nimekosa vitu
Akikujibu uni ccSasa hapo kipya kipi??? Yote hayo yakawaida saana......watu wa mkoani mnakosa usingizi Kwa ajili ya dar,.....vip Shem atakuja dar likizo??
Siku hizi hakuna nyuzi. Wanatumia ringHayo mambo ya ki analojia tupilia mbali sasa hivi ni kidigitali...unaenda hospitali wanakupiga ganzi wanakata bila hata maumivu..unashonwa unarudi home wala supu kwa sana unajenga mwili..mwishon unaenda kutoa nyuzi kitu nale nale
C ndio maana vijana wengi wanagongwa cku hiz wamelegea Kama Mlenda wanachojua ni kwenda kuoshwa miguu tu saloonHayo mambo ya ki analojia tupilia mbali sasa hivi ni kidigitali...unaenda hospitali wanakupiga ganzi wanakata bila hata maumivu..unashonwa unarudi home wala supu kwa sana unajenga mwili..mwishon unaenda kutoa nyuzi kitu nale nale
Sizungumziii kitu kipya nazungumzia vya ambavyo sisi tulivukutaSasa hapo kipya kipi??? Yote hayo yakawaida saana......watu wa mkoani mnakosa usingizi Kwa ajili ya dar,.....vip Shem atakuja dar likizo??
Ulienda jando?Swali kubwa kwake ni "Alijuaje??"
Mwanaume anayefuatilia maisha ya mwanamme mwenzie anakuwa na chembechembe zote za u"Elton John"
Hahahaha usiogope we tiririka vijana waelewe haya mambo mazitoNaogopa kutiririkaa mkuu
Taratibi salt hawa vijana hawajaenda jando tuwavumilie tu, usije ukatoboa siriUlienda jando?
Afu msiwe mnakata bila ridhaa yetu jamani sisi si ndo watumiaji au?
Jando ni shiiiida ila ndo umahirii unapo patikanaaKwanza natanguliza salaamu kwenu.
Katika vitu ambavyo siwezi kuvisahau katika maisha yangu ni Jando, hii inapelekea nikiona damu tu nakumbuka.
Kwanza nilitahiriwa kipindi najua mema na mabaya,
pili nilitahiriwa bila ganzi,
tatu nilitahiriwa polini,
nne sijawai kubembelezwa pindi tu nilipotahiliwa, maneno ambayo nilikuwa Nayasikia, acha kulia mwanaume wewe, na maneno mengine.
JAmani jandoni si mchezo nilikaa mwezi mmoja na nusu, nikiuguza kidonda polini, unalazimishwa kutoa bandeji bila ya ganzi, unapewa athabu ngumu bila Sababu za M singi, unanyimwa chakula ambacho wazazi wako wamempa mtu unayekaa nae, ye akipewa anakula chakula mbele yako na unaambiwa nenda katafute, unaenda kuchimba mizizi na kuua wanyama wadogo kama sungura ndio chakula chako.
Jandoni tunafundishwa jinsi ya kuishi na mwanamke, ndio mana ni Mara chache kumsikia mtu aliyepitia jandoni analalamika juu ya wanawake,
Tunafundishwa Heshima, tunafundishwa kujitegemea na kusimama kama mwanaume sehemu yoyote,
Tunafundishwa kuwa Msiri, (hata hapa nimevunja sheria ya jando)
na mambo mengine mengi zikiambata na adhabu
Hebu tiririka kitu usichokisahau jandoni, vijana wetu Wajue
Hongera Sana mkuu umenikumbusha ciku hiyo tulichomolewa mida ya alfajiri kuelekea kwa Nkariba.,,,,,,,,,,, ciwez kusimulia yote ila tulirudi hom tunachechemea ambapo kilichofuata ni kuishi kwa babu na kuhudhuria nyimbo za jando kila jioni kwa takriban ciku 30,,,,,,,,,,ni mengi ila naomba kutia nanga. Asante kwa uzi mzuriKwanza natanguliza salaamu kwenu.
Katika vitu ambavyo siwezi kuvisahau katika maisha yangu ni Jando, hii inapelekea nikiona damu tu nakumbuka.
Kwanza nilitahiriwa kipindi najua mema na mabaya,
pili nilitahiriwa bila ganzi,
tatu nilitahiriwa polini,
nne sijawai kubembelezwa pindi tu nilipotahiliwa, maneno ambayo nilikuwa Nayasikia, acha kulia mwanaume wewe, na maneno mengine.
JAmani jandoni si mchezo nilikaa mwezi mmoja na nusu, nikiuguza kidonda polini, unalazimishwa kutoa bandeji bila ya ganzi, unapewa athabu ngumu bila Sababu za M singi, unanyimwa chakula ambacho wazazi wako wamempa mtu unayekaa nae, ye akipewa anakula chakula mbele yako na unaambiwa nenda katafute, unaenda kuchimba mizizi na kuua wanyama wadogo kama sungura ndio chakula chako.
Jandoni tunafundishwa jinsi ya kuishi na mwanamke, ndio mana ni Mara chache kumsikia mtu aliyepitia jandoni analalamika juu ya wanawake,
Tunafundishwa Heshima, tunafundishwa kujitegemea na kusimama kama mwanaume sehemu yoyote,
Tunafundishwa kuwa Msiri, (hata hapa nimevunja sheria ya jando)
na mambo mengine mengi zikiambata na adhabu
Hebu tiririka kitu usichokisahau jandoni, vijana wetu Wajue
Karibu tena mkuuHongera Sana mkuu umenikumbusha ciku hiyo tulichomolewa mida ya alfajiri kuelekea kwa Nkariba.,,,,,,,,,,, ciwez kusimulia yote ila tulirudi hom tunachechemea ambapo kilichofuata ni kuishi kwa babu na kuhudhuria nyimbo za jando kila jioni kwa takriban ciku 30,,,,,,,,,,ni mengi ila naomba kutia nanga. Asante kwa uzi mzuri
Yani mwendo wa kuoga maji ya mtoni saa kumi na moja alfajiri ni hatari sana
Hii nayo nilisahau auf mwezi Mzima unavaa shukaYani mwendo wa kuoga maji ya mtoni saa kumi na moja alfajiri ni hatari sana
Ahsante Mkuu sikuliwaza hiliTittle yako ilipaswa iwe hivi
KAMA UMEPITIA JANDONI PITIA HAPA TUWASIMULIE VIJANA WA MARA, MWANZA,SHINYANGA,SIMIYU GEITA, N.K