proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,468
- 1,329
Mkuu una tofauti kubwa Sana na sisi tuliopitia ya polini.Mi nilipitia jando ya hospitali bila hata maumizi yeyote halafu hatukupewa elimu yeyeto ilee
Mkuu una tofauti kubwa Sana na sisi tuliopitia ya polini.Mi nilipitia jando ya hospitali bila hata maumizi yeyote halafu hatukupewa elimu yeyeto ilee
Hata mume wa shilole nae alienda jando uko kijijini lakini shishi alilia mapmz matamu kwa nuhu mziwanda mpk leo bado anaweweseka na nuh kasha oa we jidanganye na wazee wengi wake zao wanatoka na vijana wa mjini utatafuta kila sababu ya mapnz tuwe kama watt wa kiume sio kutharau watt wa watu kumbuka unafamilia wewe mdomo huumba jmn tuombe munguC ndio maana vijana wengi wanagongwa cku hiz wamelegea Kama Mlenda wanachojua ni kwenda kuoshwa miguu tu saloon
Kwanza natanguliza salaamu kwenu.
Katika vitu ambavyo siwezi kuvisahau katika maisha yangu ni Jando, hii inapelekea nikiona damu tu nakumbuka.
Kwanza nilitahiriwa kipindi najua mema na mabaya,
pili nilitahiriwa bila ganzi,
tatu nilitahiriwa polini,
nne sijawai kubembelezwa pindi tu nilipotahiliwa, maneno ambayo nilikuwa Nayasikia, acha kulia mwanaume wewe, na maneno mengine.
JAmani jandoni si mchezo nilikaa mwezi mmoja na nusu, nikiuguza kidonda polini, unalazimishwa kutoa bandeji bila ya ganzi, unapewa athabu ngumu bila Sababu za M singi, unanyimwa chakula ambacho wazazi wako wamempa mtu unayekaa nae, ye akipewa anakula chakula mbele yako na unaambiwa nenda katafute, unaenda kuchimba mizizi na kuua wanyama wadogo kama sungura ndio chakula chako.
Jandoni tunafundishwa jinsi ya kuishi na mwanamke, ndio mana ni Mara chache kumsikia mtu aliyepitia jandoni analalamika juu ya wanawake,
Tunafundishwa Heshima, tunafundishwa kujitegemea na kusimama kama mwanaume sehemu yoyote,
Tunafundishwa kuwa Msiri, (hata hapa nimevunja sheria ya jando)
na mambo mengine mengi zikiambata na adhabu
Hebu tiririka kitu usichokisahau jandoni, vijana wetu Wajue
Mkuu mzee wangu alikuwa meneja Tanesco ila alikuwa mkoloni vibaya nilisafirishwa bila kujua napelekwa kwenye maumivu kilichonitokea uko mmmhSisi jandoni ni muhimbili,so hakuna mpya,ila nyie vumilieni maumivu sisi watoto Wa kishua hakuna kuvumilia
Najua kuwa hairuhusiwiJandoni halafu uweke mambo hadharani hilo si jando asilia limevamiwa.
Hahahahahh kama naona unavyong'ata menoAaahhhh. Mkuu mi nimetailiwa zizini saa 12:30 Bila ngazi na kisu wala Bila hata kufumba macho
Ulijengwa kuwa mwanaume shupavu na kujua kujitafutia ila baadae uwe baba bora wa familia.Kwanza natanguliza salaamu kwenu.
Katika vitu ambavyo siwezi kuvisahau katika maisha yangu ni Jando, hii inapelekea nikiona damu tu nakumbuka.
Kwanza nilitahiriwa kipindi najua mema na mabaya,
pili nilitahiriwa bila ganzi,
tatu nilitahiriwa polini,
nne sijawai kubembelezwa pindi tu nilipotahiliwa, maneno ambayo nilikuwa Nayasikia, acha kulia mwanaume wewe, na maneno mengine.
JAmani jandoni si mchezo nilikaa mwezi mmoja na nusu, nikiuguza kidonda polini, unalazimishwa kutoa bandeji bila ya ganzi, unapewa athabu ngumu bila Sababu za M singi, unanyimwa chakula ambacho wazazi wako wamempa mtu unayekaa nae, ye akipewa anakula chakula mbele yako na unaambiwa nenda katafute, unaenda kuchimba mizizi na kuua wanyama wadogo kama sungura ndio chakula chako.
Jandoni tunafundishwa jinsi ya kuishi na mwanamke, ndio mana ni Mara chache kumsikia mtu aliyepitia jandoni analalamika juu ya wanawake,
Tunafundishwa Heshima, tunafundishwa kujitegemea na kusimama kama mwanaume sehemu yoyote,
Tunafundishwa kuwa Msiri, (hata hapa nimevunja sheria ya jando)
na mambo mengine mengi zikiambata na adhabu
Hebu tiririka kitu usichokisahau jandoni, vijana wetu Wajue
Ni kweliTaratibi salt hawa vijana hawajaenda jando tuwavumilie tu, usije ukatoboa siri
Town tunafika bila wasiwasiHivi huwa mkitoka mnaenda bush au hata taun mnafika hata ciku huwa mna utofaut gan❂❂❂❀❀❀✿✿✿✽✽✻✺
Waende jando na kwenye vigodoro wataenda kina nani?Hongera mkuu, kwa hiyo wanaume wa Dar hawajaenda jando? Maana sijaielewa title yako.
YaaapTown tunafika bila wasiwasi
Unataka kujua utofauti?