mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,843
Sheikhe.umefanya makosa makubwa sana.hilo shamba ningekuwa mimi ningelilima bila jembeSaa nne usiku nimeingia na demu mmoja anaitwa Oliver pale Sepetu Guest House mitaa ya Mwinyi Tabora.
Nilikua namfundisha Tution ya Chemistry alikua form five Kaliua Secondary ipo Urambo.
Kucheki nikagundua nimesahau kununua Soksi. Kutoka pale reception muhudumu akasema hana.
Kutoka mtaani maduka yamefungwa yoteee... Kubabake walay...
Nikapiga hesabu, kwahiyo niende nikamtafune nyama kwa nyama??? Akiwa na UKIMWI??
Na hivi kule Kaliua wanasoma mixture nasikia walikua wanagongana kichizi...
Nikasema Astaghfirullah mama yangu ananitegemea mie. Nikapata na wazo la kurudi home usiku sikurudi Guest.
Na hivi sikua na cm, demu sijui alilala peke yake siku ile.