Kama uchawi hauvuki bahari, Ilikuwaje vodoo Ikifika Haiti hadi America Kusini?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,870
155,832
Voo dooo ni uchawi maarufu duniani wenye asili ya Africa, lakini umevuka bahari na kuenea sehemu mbalimbali duniani.

Mshana Jr nimewahi kusoma mahali Fulani kwenye machapisho yake kuwa uchawi hauvuki bahari.

Pascal Mayalla kwenye makala yake ya mafusho ya mwenge nilisha wahi kumuuliza kama mwenge una nguvu kwanini tupeleke askari wetu nchi jirani na pia mbali wakalinde amani, na badala yake tupeleke mwenge ili kuzuia wanajeshi wetu wasife na kuumia vitani, akanijibu kuwa mafusho ya moshi wa mwenge hayawezi kufanya kazi nje ya nchi.

Mwenge ni uchawi, na vodoo ni uchawi, kwanini vodooo ivuke bahari?
 
Huo ni uchawi wa kuua, mtu anakuwa na ki mdoli kisha anachukua baadhi ya vitu vya mlengwa kama, kipande chake cha nguo, unyayo, n.k. kisha anapotaka kumuondoa hu unganisha vitu vya mlengwa na mdoli, halafu huamua yeye mwenyewe amuuaje. Kwa kuchoma sindano mdoli au kunyonga mdoli..
Ni uchawi unaoogopeka sana pande hizo.
Mchawi huwa anatenda huku akinuizia analotaka..
Kuhusu kufika huko, sina uhakika, ila bahari yenyewe imejaa matimbwili, chochote kinawezekana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni uchawi wa kuua, mtu anakuwa na ki mdoli kisha anachukua baadhi ya vitu vya mlengwa kama, kipande chake cha nguo, unyayo, n.k. kisha anapotaka kumuondoa hu unganisha vitu vya mlengwa na mdoli, halafu huamua yeye mwenyewe amuuaje. Kwa kuchoma sindano mdoli au kunyonga mdoli..
Ni uchawi unaoogopeka sana pande hizo.
Mchawi huwa anatenda huku akinuizia analotaka..
Kuhusu kufika huko, sina uhakika, ila bahari yenyewe imejaa matimbwili, chochote kinawezekana..

Sent using Jamii Forums mobile app

Naanza kupata mwanga kidogo

Embu sema sema kidogo unaweza jikuta umetaja sababu bila kujua
 
Mtu anapokuwa anafatiliwa na wachawi, anapovuka mto wachawi hawawezi kumuona wanapofika mahari alipovukia mto. Uchawi unaosemwa hauvuki Bahari, sio Bahari tu, hata Mto uchawi hauvuki.
Maana halisi ya uchawi kutovuka maji, ni kuwa, Spells, au manuizio yanayonuiziwa ili yampate Mtu aliye ng'ambo ya mto hayawezi kumpata kwa sababu spells hazivuki maji.
Vile vile, hata vifaa vya kumtafutia Mtu mahali alipo, vifaa kama vile cristal balls, magical mirrors, na hata maji katika dish, haviwezi kumbaini alipo kama atakuwa yuko ng'ambo ya maji..
Kinachoweza kufanya kazi ng'ambo ya maji, ni hirizi peke yake ambapo huwa imetengenezwa kwa kuvaliwa katika mwili , hivyo, popote aendapo hirizi hiyo hufanya kazi hata kama atavuka Bahari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku moja wanadamu wote wakiwa pamoja waliungana katika uwanda wa babeli kumpinga Mungu na kujenga mnara.
Mchakato huo uliambatana na uchawi na ibada ya za mashetwain.
Baada ya kuchafuliwa Lugha walisambaa dunia nzima.
hivyo kuna mambo mengi yenye ufanano katika asili za watu waliombali na ambao hawajawahi kuonana kibailojia.

mfano
story za safina.
Siku ya kuwakumbuka wafu na sherehe zake zinafanywa kila kona.
mfumo wa kupractice uchawi
etc
 
Mtu anapokuwa anafatiliwa na wachawi, anapovuka mto wachawi hawawezi kumuona wanapofika mahari alipovukia mto. Uchawi unaosemwa hauvuki Bahari, sio Bahari tu, hata Mto uchawi hauvuki.
Maana halisi ya uchawi kutovuka maji, ni kuwa, Spells, au manuizio yanayonuiziwa ili yampate Mtu aliye ng'ambo ya mto hayawezi kumpata kwa sababu spells hazivuki maji.
Vile vile, hata vifaa vya kumtafutia Mtu mahali alipo, vifaa kama vile cristal balls, magical mirrors, na hata maji katika dish, haviwezi kumbaini alipo kama atakuwa yuko ng'ambo ya maji..
Kinachoweza kufanya kazi ng'ambo ya maji, ni hirizi peke yake ambapo huwa imetengenezwa kwa kuvaliwa katika mwili , hivyo, popote aendapo hirizi hiyo hufanya kazi hata kama atavuka Bahari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshirika mkuu..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Voodoo imesambaa kuanzia sehemu za Afrika mpaka Hawaii na maeneo ya Polynesian socities. Huu ni uchawi mweusi au Black magic yaani kwa ajili ya kudhuru mtu au kuua kabsa. Ufanyika Kw kufanya ndumba ambayo inakuwa ni mdoli ambao unatengeneza na nywele, kipande cha nguo, nk pamoja na hirizi ambayo ndo mwisho wa siku unatokea mdoli wenye kuchukua hali yako ya kimwili. Sasa jamii mbalimbali zilichukulia black magic kama ni laana ila kidogo kidogo wakaanza kujifunza namna ya kutengeneza hizi spells pamoja na dawa za Voodoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Voo dooo ni uchawi maarufu duniani wenye asili ya Africa, lakini umevuka bahari na kuenea sehemu mbalimbali duniani.

Mshana Jr nimewahi kusoma mahali Fulani kwenye machapisho yake kuwa uchawi hauvuki bahari.

Pascal Mayalla kwenye makala yake ya mafusho ya mwenge nilisha wahi kumuuliza kama mwenge una nguvu kwanini tupeleke askari wetu nchi jirani na pia mbali wakalinde amani, na badala yake tupeleke mwenge ili kuzuia wanajeshi wetu wasife na kuumia vitani, akanijibu kuwa mafusho ya moshi wa mwenge hayawezi kufanya kazi nje ya nchi.

Mwenge ni uchawi, na vodoo ni uchawi, kwanini vodooo ivuke bahari?
Nitakuja

Jr
 
Mbona voo doo ilianzia Africa na kusambaa dunia nzima?
Mtu anapokuwa anafatiliwa na wachawi, anapovuka mto wachawi hawawezi kumuona wanapofika mahari alipovukia mto. Uchawi unaosemwa hauvuki Bahari, sio Bahari tu, hata Mto uchawi hauvuki.
Maana halisi ya uchawi kutovuka maji, ni kuwa, Spells, au manuizio yanayonuiziwa ili yampate Mtu aliye ng'ambo ya mto hayawezi kumpata kwa sababu spells hazivuki maji.
Vile vile, hata vifaa vya kumtafutia Mtu mahali alipo, vifaa kama vile cristal balls, magical mirrors, na hata maji katika dish, haviwezi kumbaini alipo kama atakuwa yuko ng'ambo ya maji..
Kinachoweza kufanya kazi ng'ambo ya maji, ni hirizi peke yake ambapo huwa imetengenezwa kwa kuvaliwa katika mwili , hivyo, popote aendapo hirizi hiyo hufanya kazi hata kama atavuka Bahari.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom