britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Ukienda nchi zote duniani kuna utaratibu wa hunters and escorts
Mtu anakuwa kwa hotel kufanya hunting, pia kuna call girls,
Nimeona huduma hizo
Singapore,
Qatar ila kwa kujificha sana hapa, wanatangaza kiujanja,
Netherlands hapa nimekutana na muhaya anaitwa Kachunkwa, naye anafanya kajichanganya na waholanzi,
Ukienda MACAU, haka ni ka territory kapo juu ya China pale shughuli nyingi kule ni hotel na escorts / Hunting,
Ukiangalia uholanzi 7% ya GDP inatokana na kodi ya hunting and escorts
Kwanini hapo bongo isianzishwe kuwasaidia madomo zege?
Ila ushauri wapimwe, wapewe vituo maalumu, wasisitize usafi,
Kila mmoja awe na EFD machine yake akimpa mtu huduma anatoa receipt,
Hakikisha ukipata huduma unadai receipt,
Mbona mapato yataongezeka?
Mahesabu ya haraka dar es salaam kuna wanawake 2,700,000 ila wanaofanya kujiuza direct ni 600,000
Indirect ni 1,000,000
Wanaofanya kujiuza kulingana na kubagua mazingira na sau ni 200,000
Je hao wote wakitozwa si tunasogea?
Mtu anakuwa kwa hotel kufanya hunting, pia kuna call girls,
Nimeona huduma hizo
Singapore,
Qatar ila kwa kujificha sana hapa, wanatangaza kiujanja,
Netherlands hapa nimekutana na muhaya anaitwa Kachunkwa, naye anafanya kajichanganya na waholanzi,
Ukienda MACAU, haka ni ka territory kapo juu ya China pale shughuli nyingi kule ni hotel na escorts / Hunting,
Ukiangalia uholanzi 7% ya GDP inatokana na kodi ya hunting and escorts
Kwanini hapo bongo isianzishwe kuwasaidia madomo zege?
Ila ushauri wapimwe, wapewe vituo maalumu, wasisitize usafi,
Kila mmoja awe na EFD machine yake akimpa mtu huduma anatoa receipt,
Hakikisha ukipata huduma unadai receipt,
Mbona mapato yataongezeka?
Mahesabu ya haraka dar es salaam kuna wanawake 2,700,000 ila wanaofanya kujiuza direct ni 600,000
Indirect ni 1,000,000
Wanaofanya kujiuza kulingana na kubagua mazingira na sau ni 200,000
Je hao wote wakitozwa si tunasogea?