Kama tunamwogopa vile.........tunamsema sana lakini hatuchukui hatua!

Amependeza yaani nadhifu sana,afya yake nzuri na murua imejengwa na kodi yetu wadanganyika.Ila watu wa Igunga!!!!!! sijajua kama ni wazalendo kwani ilitakiwa wamkane huyu mtu.
 
Hilo ndo tatizo letu kubwa!!! What has befallen us???
 
Tutangazei maandamano ya kushinikiza kufukuzwa nchini kwetu arudi kwao Iran
 
I can hear water starting to boil in the kitchen..... just wait a minute we're working on it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…