Hakikwanza JF-Expert Member Dec 11, 2010 4,034 1,003 Feb 5, 2011 #2 Amependeza yaani nadhifu sana,afya yake nzuri na murua imejengwa na kodi yetu wadanganyika.Ila watu wa Igunga!!!!!! sijajua kama ni wazalendo kwani ilitakiwa wamkane huyu mtu.
Amependeza yaani nadhifu sana,afya yake nzuri na murua imejengwa na kodi yetu wadanganyika.Ila watu wa Igunga!!!!!! sijajua kama ni wazalendo kwani ilitakiwa wamkane huyu mtu.
Mbaha JF-Expert Member Nov 26, 2010 697 73 Feb 5, 2011 #3 Hilo ndo tatizo letu kubwa!!! What has befallen us???
N niweze JF-Expert Member Oct 21, 2009 1,008 116 Feb 5, 2011 #4 Mr. Tanganyika said: Roast Tamu Click to expand... NO I disagree. We are working on it.
N nndondo JF-Expert Member Feb 1, 2010 1,251 895 Feb 5, 2011 #5 Tutangazei maandamano ya kushinikiza kufukuzwa nchini kwetu arudi kwao Iran
Xuma JF-Expert Member Jul 14, 2010 683 196 Feb 5, 2011 #6 I can hear water starting to boil in the kitchen..... just wait a minute we're working on it.