Kama siyo Lema awe nani?


KAMPENI NDANI YA CHAMA ZISHA ANZA..........! lema akikusikia wewe,
 

Hapo kamanda nimekupata. Nanyaro apewe jimbo.
 
SYSTEM HAIMTAKI LEMA! hahahaaaa... falsafa yetu ni nguvu ya umma, kama hawamtaki Lema si ni wao...je, unauhakika umma haumtaki Lema?
Besides, sasa hivi kuna makamanda wengi sana na muda ukifika CDM wataamua nani awe wapi. Hebu tuweke akili yetu kwenye rufaa kwanza. sulala la mgombea CDM siyo issue wapo wengi sana na kama upo A-town andaa kura yako tu!
CDM ni nguvu ya umma na ndo msingi wa dola...
CCM ni nguvu ya dola inayotokana na umma...
 
Huyo Nanyaro Mwenyewe huenda umemjua sababu ya Lema......
 
Sisi ndiyo tuliomchagua Lema... kwamba system haimtaki hiyo ni juu yao... sisi tunamtaka Lema na si vinginevyo....

Usifanye kampeni za kijinga hapa... who is Nanyaro.... tuwache na Lema wetu pleaseeeeeeeeeeee

Acha woga.. kwenye ukweli uongo hujitenga.... Chema tutashinda rufaa........
 

Wasimponze Lema aamue kuondoka na watu wake kama alivyoondoka nao TLP. Lema akikihama CDM kwenda kwingine umaarufu wa CDM Arusha utashuka by half
 
Kwani kale kautaratibu kaliko tumika Arumeru kumpata Joshua mmekafuta na sasa mnapitisha wagombea kupitia JF?
 

Kwenye Red. Lema hatakiwi na Mfumo, lakini anatakiwa na Umma wa Arusha waliomchagua kwa kura nyingi
Kwenye Blue. Hii sasa ni Kampeni. acha kucheza mpira nje ya uwanja mazee
Halafu Rasta nini tena Mkuu si ulisema hutaki siasa tena?
 
tuache, muda ukifika basi cdm wataamua

watanzania tunapenda sana speculation za papara
kweli hizo stahili za magamba hazikubaliki cdm. Huwezi ukamuengua lema eti kwasababu hatakiwi na system huu ni uchuro. Nahisi mjambo wa ccm humu kwenye hii thread. Lema atasimama twende step kwa step kwanza stahili waliyotumia magamba kumng'oa lema haina mshiko wowote ule. Haki bin haki muache lema asimame kwa miguu yake na chama kitakuwa nyuma yake utawaweka wapi wapiga kura 50,000 waliompigia 2010. Je una fikiri hao walipigia cdm au walipigia cdm kwakuwa imemsimamisha lema . Jiulize kwanza , dr. Slaa alipata kura ngapi na freeman mbowe alipata ngapi then unconclude kuwa nanyaro achukue nafasi ya ugombea adios.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…