Kama si udini na Uchadema ?ccm bye bye.


Waberoya,

..yaani unataka Chadema wakajiteteee kwa madai yanayotolewa na mzalendo.net?

..mzalendo.net pamejaa wabaguzi wa kidini na ki-Zanzibari. huwezi kupata haki pale kama siyo wa dini yao au Mzanzibari.

..hapo mzalendo.net hata uanachama hawaruhusu kama siyo Mzanzibari. hii ni sawa na ilivyokuwa Zanzinet.

NB:

..nakuomba upitie maoni ya wana mzalendo.net kuhusu ile sakata ya kiwanja kati ya Fatma Karume na Kanisa la Kianglikani.
 
kimbe unafahamu maeneo yenye waislamu wengi sasa hao kina mboe wenu na Slaa nao wamechaguliwa na nani kama si wakiristo wenzenu.Au YENU DU YA WENZENU MIDOMO JUU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…