Haka ka Mzalendo .net cjakapenda kwanza kapo Ki CUF zaidi na Kiislam zaidi,huwezi kunishawishi hata siku moja nikubali udini wa Chadema kabla ya udini wa CUF na CCM,ndo maana hata ushindi wa CUF kwenye kura za urais zimetoka maeneo yenye waislam wengi i.e Mtwara,Lindi na Tabora kote huko waislam ni 80 Percent,kwa CCM udini upo kwa Kikwete.