Sasa mawazo gani haya mabovu?
watoto wa viongozi siku zote huwa 'the opposite' na wazazi wao
Waulize waliokuwa wanampenda Kighoma Malima jinsi Adam Malima alivyo tofauti na baba yake..
Ridhiwani hafanani na baba yake..Makongoro hafanani na baba yake
haya mawazo ni mabovu kabisa
Sasa mawazo gani haya mabovu?
watoto wa viongozi siku zote huwa 'the opposite' na wazazi wao
Waulize waliokuwa wanampenda Kighoma Malima jinsi Adam Malima alivyo tofauti na baba yake..
Ridhiwani hafanani na baba yake..Makongoro hafanani na baba yake
haya mawazo ni mabovu kabisa
Always you have a negative thoughts about wapinzani especially chadema,mbona husemi kina bush na familia yao nzima ?
There is a chance children of great people can be great too
Jipeni moyo, hatuwapi ng'oo!
Halafu huyo Kafulila umemuweka tu ili kuficha madhambi. Tumestuka!
Tutachukua kwa nguvu,na pale itakapobainika kua hujuma iko wazi,damu itamwagika.
Mmeshindwa kumwaga sa hv tumewapiga la mkono live itakuwa kipind hiko tutapowapiga la kisigino?
Busara nayo inafika mwisho wake.
Tutachukua kwa nguvu,na pale itakapobainika kua hujuma iko wazi,damu itamwagika.