Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,268
Vuta picha lile goli la makambo wangenyimwa biashara au simba. Humu kungekalika?Alipiga mikono ya kipa badala ya mpira
Msimu uliopita Simba imekataliwa magoli mengi tu.Vuta picha lile goli la makambo wangenyimwa biashara au simba. Humu kungekalika?
Unakumbuka zile draw za mwanzoni mwa msimu mlikua mnasema mnakamiwa GSM katoa hela?
Yaani timu zinapocheza na simba zinatakiwa ziachie magoli isionekane wanakamia. Vip ndo mmenyimwa goli la makambo kwa mazingira hayo.
...Mnajivika upofu tuu makolo fc..goli la makambo, biashara united kupoteza muda, referee kutotoa kadi za njano kwa rafu mbaya za Biashara united, vyoteee hivyo mnajifanya hamkuona, pambaneni na hali zenuYule mwamuzi toka mpira unaanza alikuwa anawatafutia utopolo ushindi, mara faulu ila biashara wakichezewa wanapeta ni swala la muda mambo ya waamuzi kupigwa yatajirudia
Pamoja na hayo yote Yanga amecheza na geita kwenye hiyo hiyo mechi unayosema goli mbili za Yanga zikakataliwa.Msimu uliopita Simba imekataliwa magoli mengi tu.
Mojawapo ni goli la Onyango dhidi ya Gwambina na hakuna malalamiko makubwa yalitolewa.
Siku Yanga inacheza na Geita msimu huu, Geita walinyimwa penati ya wazi kabisa ambayo ilifanana kimiondoko kama penati ya Yanga dhidi ya Biashara.
Mshambuliaji wa Geita aliingia kwenye Box kama Moloko, akablokiwa kwa mieleka ya mikono pamoja na miguu akadondoka na kudondokewa na Beki juu yake.
Hakuna Penati.
Ileweke Basi hizo timu Kubwa mnazoziona kama zinajua mpira kumbe asilimia kubwa zinategemea kubebwa na Waamuzi au Zinawanunua Waamuzi.
Siyo kweli,aliudonoa mpira tu basi,angepiga mikono mpira usingetii amri.Alipiga mikono ya kipa badala ya mpira
Kama sio zile kadi nyekundu game nne mfululizo na penalti mbili Makolo sasa hivi wangekuwa bondeni huko.Simba walishtuka mapema ,huu udhamini wa GSM umehamishwa kwenye marefa,hii ni aibu kubwa.
Yanga hata kama mmepania ubingwa si kwa style hii,mpira umehamia kwa marefa.
Ndo maana Simba ikaona ni upuuzi mdhamini wa ligi anashangilia timu.
Hongereni mwaka huu marefa lazima wawe matajiri.
Hivi zile kelele za Mashabiki wa UtOPoLo,kuwa marefa woteSimba imetoa suluhu n Coaster Union bila jaribio la Penati.
Namungo imefungwa na Simba dakika za Nyongeza bila jaribio la kupewa penati.
Biashara Simba imepewa penati halari dakika za mwisho John Boko akakosa.
Yanga haijawahi kutoka suluhu msimu huu bila kupewa penati dakika za lala salama eg.mechi dhidi ya Namungo.
Marefa hawajisikii usalama msimu huu labda kama Yanga itafungwa au kutoka Sare.
Labda wanaogopa presha ya mashabiki.
Vuta picha lile goli la makambo wangenyimwa biashara au simba. Humu kungekalika?
Unakumbuka zile draw za mwanzoni mwa msimu mlikua mnasema mnakamiwa GSM katoa hela?
Yaani timu zinapocheza na simba zinatakiwa ziachie magoli isionekane wanakamia. Vip ndo mmenyimwa goli la makambo kwa mazingira hayo.
Vipi penati na kadi nyekundu kwenye mechi dhidi ya Baishara, dodoma jiji na Polisi Tanzania? Halafu penati akipewa Simba ni za halali ila akipewa Yanga sio halali. Haya tuzungumzie penati ya jana. Kwa ulivyoona wewe Moloko kajidondosha?Simba imetoa suluhu n Coaster Union bila jaribio la Penati.
Namungo imefungwa na Simba dakika za Nyongeza bila jaribio la kupewa penati.
Biashara Simba imepewa penati halari dakika za mwisho John Boko akakosa.
Yanga haijawahi kutoka suluhu msimu huu bila kupewa penati dakika za lala salama eg.mechi dhidi ya Namungo.
Marefa hawajisikii usalama msimu huu labda kama Yanga itafungwa au kutoka Sare.
Labda wanaogopa presha ya mashabiki.
Halafu Kama mnajua sana urefarii, kwanini mechi ya Prisons dhidi ya Yanga Saidoo kachezewa faulo ya wazi kabisa lakini hamkuanzisha uzi kumlaumu refa kwa kuwanyima Yanga penati ya wazi?Wakati mwingine kosa ni la waamuzi.
Kama mechi na Namungo.
Hivyo tim zinapaswa kuchukua tahadhari kubwa dakika za lala salama ili hata Mwamuzi asipate fulsa ya kufanya kosa.
Mfano. Kuacha kuchezea mpira eneo la Penati kuwanyima nafasi wanaojidondosha kwa kishirikina na waamuzi.
Tukiachana na mechi ya Namungo ambayo ilikuwa dhahiri Yanga ilibebwa. Tuongelee mechi ya jana je wapi refarii aliwabeba Yanga? Je Moloko hakusukumwa? Vipi lile goli la tatu lililokataliwa ambapo baada ya Azam kufanya marudio kipa wa biashara hakuguswa na pia hata mpira wenyewe hakuukamata
Goli la Makambo aka Makambovich nalo vepee?
Vipi penati na kadi nyekundu kwenye mechi dhidi ya Baishara, dodoma jiji na Polisi Tanzania? Halafu penati akipewa Simba ni za halali ila akipewa Yanga sio halali. Haya tuzungumzie penati ya jana. Kwa ulivyoona wewe Moloko kajidondosha?
Kashabikie hata Karata soka huiwezi.Simba walishtuka mapema ,huu udhamini wa GSM umehamishwa kwenye marefa,hii ni aibu kubwa.
Yanga hata kama mmepania ubingwa si kwa style hii,mpira umehamia kwa marefa.
Ndo maana Simba ikaona ni upuuzi mdhamini wa ligi anashangilia timu.
Hongereni mwaka huu marefa lazima wawe matajiri.
Ww jiheshimu sio kututusi kukalia kwako milinda nyeusi isiwe kelo kwetu wana simbaHivi utaahira mtaacha lini ninyi ng'ombe? Yanga kabebwa kwenye tukio gani Jana? Hivi lile goli la Makambo wangefunga mbumbumbu au Biashara likakataliwa si ungevaa boxer kichwani wewe taahira? Simba ina mashabiki viazi mbatata sana aisee
Wewe ni mpumbavu,yanga inanyimwa magoli wazuwazi huoniSimba walishtuka mapema ,huu udhamini wa GSM umehamishwa kwenye marefa,hii ni aibu kubwa.
Yanga hata kama mmepania ubingwa si kwa style hii,mpira umehamia kwa marefa.
Ndo maana Simba ikaona ni upuuzi mdhamini wa ligi anashangilia timu.
Hongereni mwaka huu marefa lazima wawe matajiri.
UTO hizi mechi kadhaa, wanapata ushindi wao kwa taabu Sana na michongo.
UTO hizi mechi kadhaa, wanapata ushindi wao kwa taabu Sana na michongo.