iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,927
Tunaambiwa kwamba Kilimo kinafanywa na asilimia 70 ya watanzania wote.
Serikali ilitenga bilioni 101 kama bajeti ya maendeleo lakini ilitoa shilingi bilioni tatu point nne!
Kwa hesabu za harakaharaka,asilimia 70 ni kama watanzania milioni 35,kwa hesabu rahisi,kila mkulima kwa mwaka 2016/2017 alipata shilingi elfu
Je tunawatendea haki wakulima ambao ni asilimia 70 ya watanzania wote? Kuna dalili ya mapinduzi ya Kilimo?Tanzania ya viwanda itapata malighafi kutoka wapi?
Na kwa sasa Kilimo sio moja ya vipaumbele vya bajeti,kwa maana halisi asilimia 70 ya watanzania sio kipaumbele,hivyo kuna hatari kubwa ya kutengeneza watu masikini kwa asilimia 70!!
Serikali ilitenga bilioni 101 kama bajeti ya maendeleo lakini ilitoa shilingi bilioni tatu point nne!
Kwa hesabu za harakaharaka,asilimia 70 ni kama watanzania milioni 35,kwa hesabu rahisi,kila mkulima kwa mwaka 2016/2017 alipata shilingi elfu
Je tunawatendea haki wakulima ambao ni asilimia 70 ya watanzania wote? Kuna dalili ya mapinduzi ya Kilimo?Tanzania ya viwanda itapata malighafi kutoka wapi?
Na kwa sasa Kilimo sio moja ya vipaumbele vya bajeti,kwa maana halisi asilimia 70 ya watanzania sio kipaumbele,hivyo kuna hatari kubwa ya kutengeneza watu masikini kwa asilimia 70!!