iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
- Thread starter
- #21
Unajua kuna watu wako ICU muhimbili national hospital na wanapumua lakini hawatambui mtu yeyote anayekuja mbele yao?Iliyoishiwa pumzi mbona inaishi pumzi inapata wapi? Lugha za kisanii tu hizo. Ccm still stronger and is here to stay for good.