The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 4,780
- 8,155
Kuna hekima ya kiafrika inayosema:
"Kama nzi hawagusii nyama, basi kuna jambo."
⚠️ Usinunue nyama ambayo hata nzi hawavutiwi nayo. Inawezekana imewekewa kemikali, imechakachuliwa au haifai kwa matumizi ya binadamu. Nzi, ingawa ni wadudu, huwa na hisia kali sana za harufu wakikataa, jiulize kwa nini.
🟢 Vivyo hivyo kwenye mboga za majani kama:
Kama mboga hizi hazina tundu hata moja au haziliwi na wadudu usichume!
Wadudu ni viumbe wa asili na kama hawali hiyo mboga, kuna uwezekano mkubwa kuwa imepuliziwa sumu au kemikali kali isiyofaa.
Kumbuka:
Chakula salama ni kile ambacho hata viumbe wa asili huweza kula.
Share ili na wengine wajifunze kula kwa usahihi na afya!
"Kama nzi hawagusii nyama, basi kuna jambo."
⚠️ Usinunue nyama ambayo hata nzi hawavutiwi nayo. Inawezekana imewekewa kemikali, imechakachuliwa au haifai kwa matumizi ya binadamu. Nzi, ingawa ni wadudu, huwa na hisia kali sana za harufu wakikataa, jiulize kwa nini.
🟢 Vivyo hivyo kwenye mboga za majani kama:
- Sukuma wiki
- Mchicha
- Mnavu
- Figiri
- Chinese
Kama mboga hizi hazina tundu hata moja au haziliwi na wadudu usichume!
Wadudu ni viumbe wa asili na kama hawali hiyo mboga, kuna uwezekano mkubwa kuwa imepuliziwa sumu au kemikali kali isiyofaa.
Kumbuka:
Chakula salama ni kile ambacho hata viumbe wa asili huweza kula.
Share ili na wengine wajifunze kula kwa usahihi na afya!