Kama ni uongo, huu ni kiboko

Mimi wala sishangai! kuna jamaa yangu fulani pia wakati tupo sikuli boarding,mademu wote wazuri alidahi amewala kumbe cheche!,akiamka asubuhi anakuwa amesimamisha kijiti ndani ya boksa kumbe cheche!
 
Wewe Ulitaka Bikila Au, Usione Kinang'aa Kinaghalamiwa.
 

Hii hadithi hata kwenye "Hekaya za Abunwas" haipo!
 
Siku hizi kupata mpenzi mpya ni kupata uongo mpya move on with her.
 

Lini na maeneo gn mkuu nikachukue thic time???
 

Umetisha mkuu
 
Mkuu Inkhubu comment yako na maantiki yako na ubishani wenu na kiroboto vimenifanya nisome karibu michango yote ktk bandiko hili. Kweli nimeamini binadamu tunatofautiana sana! Yaani pamoja na kuandika kwa ufasaha kiasi hicho mtu hajakuelewa,hata ulivyomwambia issue hapa ni"kuwezekana"lkn bado mtu haelewi!? Hii kweli job true true!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Means ana kamtu kingine kanakomsaidia jamaa kazi, siyo ajabu yupo kwa huyo bf wake kimaslahi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…