Kwa kumbukumbu zangu, zoezi la kuandikisha NIDA lilianza mwezi Septemba 2015, wakati Rais Jakaya Kikwete anamaliza muda wake na Rais John Magufuli pamoja na Polepole, Kakurwa na wazalendo wengine wakiingia Ikulu. Hata hivyo, matumizi makubwa ya mfumo huu yalianza zaidi katika kipindi cha Magufuli, hasa kwenye uchaguzi wa awamu ya pili mwaka 2020. Kufikia mwaka 2025 bado wananchi wengi hawakuwa wamefikiwa na zoezi hili, kwa kuwa lilikuwa linafanyika kwa awamu za maeneo.
Iwapo madai ya Polepole yana ukweli, basi “wait” ndio wahuni namba moja, siyo “wanamtandao” anaowataja. Wao ndio wa kwanza kutumia vibaya mfumo wa NIDA kupindua matokeo, jambo ambalo ushahidi wake upo wazi. Kumbuka, awamu ya Msoga (Kikwete) ndio awamu pekee ambayo ilishuhudia wapinzani wengi zaidi bungeni na Bunge kuwa moto kuliko kipindi chochote. Lakini awamu ya Magufuli na Polepole ndio iliyowaondoa wabunge wote wa upinzani bungeni, kwa kutumia mfumo waliouasisi wa NIDA + NEC + CCM (Polepole).
Bila shaka, mabadiliko anayoyafanya Rais Samia — ya kuanzisha INEC — ndio yanayomtatiza Polepole. Anataka wao waingie ili waendeleze wizi wa kura na ubabe uliopitiliza. Hii pia inaimarisha hoja za tetesi kwamba mama (Samia) aliwahi kuwa na msimamo mkali dhidi yao, na hata alijaribu kujitoa kwenye nafasi ya umakamu, lakini alishinikizwa kubaki.
Bila shaka, mama anatubu makosa ya awali kwa kuahidi kupitia ilani ya CCM kuleta Katiba Mpya. Hiyo ndiyo itakuwa toba ya kweli kwa mama na kwa CCM. Hakuna mwingine anayeweza kuleta Katiba Mpya sasa kwa kuwatenga CCM.
Kwa mantiki hiyo, Polepole apuuzwe tu. Ana masilahi binafsi, siyo ya taifa.
=========
UHALISIA:
Iwapo madai ya Polepole yana ukweli, basi “wait” ndio wahuni namba moja, siyo “wanamtandao” anaowataja. Wao ndio wa kwanza kutumia vibaya mfumo wa NIDA kupindua matokeo, jambo ambalo ushahidi wake upo wazi. Kumbuka, awamu ya Msoga (Kikwete) ndio awamu pekee ambayo ilishuhudia wapinzani wengi zaidi bungeni na Bunge kuwa moto kuliko kipindi chochote. Lakini awamu ya Magufuli na Polepole ndio iliyowaondoa wabunge wote wa upinzani bungeni, kwa kutumia mfumo waliouasisi wa NIDA + NEC + CCM (Polepole).
Bila shaka, mabadiliko anayoyafanya Rais Samia — ya kuanzisha INEC — ndio yanayomtatiza Polepole. Anataka wao waingie ili waendeleze wizi wa kura na ubabe uliopitiliza. Hii pia inaimarisha hoja za tetesi kwamba mama (Samia) aliwahi kuwa na msimamo mkali dhidi yao, na hata alijaribu kujitoa kwenye nafasi ya umakamu, lakini alishinikizwa kubaki.
Bila shaka, mama anatubu makosa ya awali kwa kuahidi kupitia ilani ya CCM kuleta Katiba Mpya. Hiyo ndiyo itakuwa toba ya kweli kwa mama na kwa CCM. Hakuna mwingine anayeweza kuleta Katiba Mpya sasa kwa kuwatenga CCM.
Kwa mantiki hiyo, Polepole apuuzwe tu. Ana masilahi binafsi, siyo ya taifa.
=========
UHALISIA: