Kidotulotokordwak
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 286
- 43
Jaman mimi niliaply Dsm journalism ya kwanza na mass com ya 2 na zote nili qualify(eligible) ila baada ya kuuliza kuhusu izo coz nikaambiwa zipo nje ya compus na kama coz ilikuwa ni non-priority cpati mkopo hata kumi,hata ela ya chakula ctapata kwahiyo inabidi nijitegemee chakula,ada,kupangisha karibu na chuo n.k,Kwa mimi mtoto wa kikabwela ambao msos wangu co wa draft nimekata tamaa, JE COZ UKISHAANDIKIWA LEGIBLE NA UKAIONDOA UKAEKA INGINE ITAFAA AU NDO UTAKUWA ULISHACHAGULIWA KWENYE ILE YA KWANZA?