Mshuza2 JF-Expert Member Dec 27, 2010 11,255 17,196 May 26, 2017 #1 Nasubiri mapovu..lakini hawa jamaa sio wa kubeza...tusiwashushe kiasi hicho..
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 52,651 71,008 May 26, 2017 #2 Mpira ni dakika 90 na unadunda pia
bryan2 JF-Expert Member Jun 8, 2016 3,323 4,678 May 26, 2017 #3 Mbao fc sio wa mchezo mchezo Simba itabidi wanoe sana hizo Chain Saw,hawa jamaa wakikuotea kamoja Wanaomba na vitanda kabsa wanalala golini. Kesho sio mbali.
Mbao fc sio wa mchezo mchezo Simba itabidi wanoe sana hizo Chain Saw,hawa jamaa wakikuotea kamoja Wanaomba na vitanda kabsa wanalala golini. Kesho sio mbali.
M mbikichooo JF-Expert Member Feb 3, 2017 265 144 May 26, 2017 #4 Simba sio ndala fc waliopigwa Mara mbili
Galapagosi JF-Expert Member Apr 21, 2017 2,848 2,635 May 26, 2017 #5 Ngoja nisubiri matokeo kwanza sasa hivi nipo kimya
Mshuza2 JF-Expert Member Dec 27, 2010 11,255 17,196 May 26, 2017 Thread starter #6 bryan2 said: Mbao fc sio wa mchezo mchezo Simba itabidi wanoe sana hizo Chain Saw,hawa jamaa wakikuotea kamoja Wanaomba na vitanda kabsa wanalala golini. Kesho sio mbali. Click to expand... Uko sahihi ..mbao bwana hawatabiriki..ni suala la muda tu
bryan2 said: Mbao fc sio wa mchezo mchezo Simba itabidi wanoe sana hizo Chain Saw,hawa jamaa wakikuotea kamoja Wanaomba na vitanda kabsa wanalala golini. Kesho sio mbali. Click to expand... Uko sahihi ..mbao bwana hawatabiriki..ni suala la muda tu
Mshuza2 JF-Expert Member Dec 27, 2010 11,255 17,196 May 26, 2017 Thread starter #7 mbikichooo said: Simba sio ndala fc waliopigwa Mara mbili Click to expand... Mpira unadunda Mkuu..lolote laweza tokea.
mbikichooo said: Simba sio ndala fc waliopigwa Mara mbili Click to expand... Mpira unadunda Mkuu..lolote laweza tokea.
Mshuza2 JF-Expert Member Dec 27, 2010 11,255 17,196 May 26, 2017 Thread starter #8 Galapagosi said: Ngoja nisubiri matokeo kwanza sasa hivi nipo kimya Click to expand... Bora wewe umeamua kuwa neutral
Galapagosi said: Ngoja nisubiri matokeo kwanza sasa hivi nipo kimya Click to expand... Bora wewe umeamua kuwa neutral
M Mbojo JF-Expert Member May 31, 2011 1,592 1,309 May 27, 2017 #10 Usije ukawa ulikuwa kwenye njozi za mawazo.
kinywanyuku JF-Expert Member Jul 13, 2015 3,745 2,922 May 27, 2017 #11 aah wapi kombe lazima liende msimbazi tunawapiga 2 bila
muhomakilo jr JF-Expert Member Jul 28, 2013 15,284 13,838 May 27, 2017 #12 Simba akikosa nyama, hula majani na mbao...Simba funga hao maswaiba wa yebo...mji utulie.
Usher-smith MD JF-Expert Member Jul 7, 2015 9,558 12,335 May 27, 2017 #13 Yanga vilaza wamepigwa mara 2 mfululizo
Zerongumu JF-Expert Member Sep 27, 2016 287 386 May 27, 2017 #15 Mshuza2 said: Nasubiri mapovu..lakini hawa jamaa sio wa kubeza...tusiwashushe kiasi hicho.. Click to expand... Kutoka Mwanza kwenda Dar?
Mshuza2 said: Nasubiri mapovu..lakini hawa jamaa sio wa kubeza...tusiwashushe kiasi hicho.. Click to expand... Kutoka Mwanza kwenda Dar?
Mshuza2 JF-Expert Member Dec 27, 2010 11,255 17,196 May 27, 2017 Thread starter #16 Zerongumu said: Kutoka Mwanza kwenda Dar? Click to expand... Dodoma to Mwanza
A Akshei Member Dec 31, 2016 38 13 May 27, 2017 #17 Mshuza2 said: Nasubiri mapovu..lakini hawa jamaa sio wa kubeza...tusiwashushe kiasi hicho.. Click to expand... Hujakosea mkuu leo Mbao 1_Simba 0.hiyo haina mjadala.
Mshuza2 said: Nasubiri mapovu..lakini hawa jamaa sio wa kubeza...tusiwashushe kiasi hicho.. Click to expand... Hujakosea mkuu leo Mbao 1_Simba 0.hiyo haina mjadala.
R Robinhomtoto JF-Expert Member May 17, 2017 238 244 May 27, 2017 #18 Haya mashehe wetu mmemrithi sheikh Yahaya? Angalieni msitoke vichwa chini
kalendi JF-Expert Member Mar 17, 2012 1,327 524 May 27, 2017 #19 Jamani mpira bado tu? Tunaomba updates na kama kuna uzi umefunguliwa kwa ajili ya hii mechi tunaomba mods mtuunganishe ili tuendelee kupata matokeo.
Jamani mpira bado tu? Tunaomba updates na kama kuna uzi umefunguliwa kwa ajili ya hii mechi tunaomba mods mtuunganishe ili tuendelee kupata matokeo.