Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,879
Habari Wadau,
Leo Nimepata Msikia Mkuu Wangu Wa Mkoa Poul Makonda Akisema Kuwa Kibari Cha Kupiga Mziki Mwisho Saa 6 Usiku Kama Unataka Kupiga Mziki Zaid Ya Huo Muda Watu Waende Club
Kubwa Hapa Madai Yake Anasema Watu Wa Pembezoni Mwa Maeneo Husika Wana Kerwa Na Kelele Za Miziki Hiyo
Ila Club Kuna Sound Proof
Ameyasema Hayo Leo Akiwa Katika Studio Za E FM Na TV E
Sasa Hapa Si Kuwapa Shida Clouds Na Tamasha Lao La Fiesta Jaman.....!!!!
Mana Siku Za Nyuma Nilipata Kusikia Bwana Ruge Kuwa Tamasha Hilo Litaisha Alfrajili
Naona Hapa Kama Wanashindana Ivi Ruge Anatakaa Kukaza Msuli Kwa Mkuu Wake Wa Mkoa iv
Ebu Ngoja Nione Hii Movie Itaishia Wapi!
------------
Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amezungumzia agizo hili na kusema wamejiandaa na watatii mamlaka japo itawaathiri baadhi ya wasanii kwa sababu watalazimika kuwapunguza kutokana na ufinyu wa muda..
Hata hivyo Ruge amesema jitihada za kuwasiliana na Mkuu wa Mkoa zinaendelea ili waweze kupata kibali cha kufanya show mpaka asubuhi..
Leo Nimepata Msikia Mkuu Wangu Wa Mkoa Poul Makonda Akisema Kuwa Kibari Cha Kupiga Mziki Mwisho Saa 6 Usiku Kama Unataka Kupiga Mziki Zaid Ya Huo Muda Watu Waende Club
Kubwa Hapa Madai Yake Anasema Watu Wa Pembezoni Mwa Maeneo Husika Wana Kerwa Na Kelele Za Miziki Hiyo
Ila Club Kuna Sound Proof
Ameyasema Hayo Leo Akiwa Katika Studio Za E FM Na TV E
Sasa Hapa Si Kuwapa Shida Clouds Na Tamasha Lao La Fiesta Jaman.....!!!!
Mana Siku Za Nyuma Nilipata Kusikia Bwana Ruge Kuwa Tamasha Hilo Litaisha Alfrajili
Naona Hapa Kama Wanashindana Ivi Ruge Anatakaa Kukaza Msuli Kwa Mkuu Wake Wa Mkoa iv
Ebu Ngoja Nione Hii Movie Itaishia Wapi!
------------
Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amezungumzia agizo hili na kusema wamejiandaa na watatii mamlaka japo itawaathiri baadhi ya wasanii kwa sababu watalazimika kuwapunguza kutokana na ufinyu wa muda..
Hata hivyo Ruge amesema jitihada za kuwasiliana na Mkuu wa Mkoa zinaendelea ili waweze kupata kibali cha kufanya show mpaka asubuhi..