Naona hapo Mkapa kishapata fimbo zake na jk ndo anapata mgao wake, hivi anayefatia kwenye cartoon ni nani???, kwa nyuma ya huyo namwona lowasa na je wa mwisho ni kawawa??
Naona hapo Mkapa kishapata fimbo zake na jk ndo anapata mgao wake, hivi anayefatia kwenye cartoon ni nani???, kwa nyuma ya huyo namwona lowasa na je wa mwisho ni kawawa??
Kazirai ,kakimbizwa muhimbili,kuna uwezekano akajifia huko kabla ya kuonja bakora,ilikuwa aanze yeye kutokana na umri! baada ya kuzirai , ndiyo mzee akamwita Ben kuja hapa!!
Naona hapo Mkapa kishapata fimbo zake na jk ndo anapata mgao wake, hivi anayefatia kwenye cartoon ni nani???, kwa nyuma ya huyo namwona lowasa na je wa mwisho ni kawawa??