Kama Mkapa angekuwa dikteta!

okon

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2008
Posts
305
Reaction score
92
Wakati mwingine demokrasia inarudisha nyuma maendeleo. Laiti mkapa angekuwa dikteta, akakaa madarakani kwa muda wa miaka 30, tungekuwa mbali sana kiuchumi. Likewise i dont believe in change of leadership right now!!! Tunahitaji viongozi waliopo madarakani (pamoja na Zitto) kwa kipindi cha miaka kama ishirini ijayo, ili wakiimarishe chama halafu ndio watoke. Hawawezi kutoka chama kikiwa katika hali hii hata kama demokrasia inahitajika ili imweke Zitto kwenye uenyekiti. Tupo pamoja??? Zito na wafuasi wake wote nendeni mkafi_ra-ne. Sorry.
 
This is a spam in mind,Mods, Pls assist us to make it out of sight please
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…