Kama Membe hana nguvu kwanini CCM mnateseka?

Kama Membe hana nguvu kwanini CCM mnateseka?

kurlzawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2018
Posts
16,694
Reaction score
20,648
Habarini za leo wakubwa?

Leo nimeleta kwenu hoja hii ambayo nimekuwa nikijiuliza sana kwa mda mrefu toka vuguvugu la Membe kuonyesha nia ya kumpinga Rais Magufuli.

Je kwanini vijana wa CCM wanatumia muda mwingi na efforts nyingi kusema Membe hana ushawishi kama hana ushawishi kwanini wanateseka nae?

Kama serikali hii imefanya makubwa kiasi cha kupendwa na wananchi kwanini inaogopa na haipendi kukosolewa?

Hayo ni maswali yangu makubwa kwa vijana wa CCM damu damu ambao unakuta hawana Hata ajira wapo kumtukana Membe ambae amewazidi pesa na kila kitu.

Vijana wa CCM serikali yenu imefanya makubwa msimalize damu zenu kumshambulia Membe muacheni kweli tuone kama hana huo umaarufu mnaousema.

KIZURI CHAJIUZA KIBAYA CHA JITEMBEZA AWAMU HII IMEZIDI KUJITEMBEZA WANANCHI TUTAFAKARI USIKUTE HAWAJAFANYA KITU HAWA WAHUNI NDIO MAANA PROPAGANDA ZIMEZIDI.
 
Mbona wewe unaisema CCM ambayo imekuzidi pesa na kila kitu hadi nimekamata nchi?

Membe hana nguvu ya kuishinda CCM naona anaelekea kule kule kwa Sumaye. Yani Membe na Sumaye hawana tofauti bora Lowassa alikuwa na ushawishi lakini si Membe.

CCM ni zimwi ambalo halijapata muaguzi wa kuliondoa bado...
 
Habarini za leo wakubwa?

Leo nimeleta kwenu hoja hii ambayo nimekuwa nikijiuliza sana kwa mda mrefu toka vuguvugu la Membe kuonyesha nia ya kumpinga Rais Magufuli.

Je kwanini vijana wa CCM wanatumia muda mwingi na efforts nyingi kusema Membe hana ushawishi kama hana ushawishi kwanini wanateseka nae?

Kama serikali hii imefanya makubwa kiasi cha kupendwa na wananchi kwanini inaogopa na haipendi kukosolewa?

Hayo ni maswali yangu makubwa kwa vijana wa CCM damu damu ambao unakuta hawana Hata ajira wapo kumtukana Membe ambae amewazidi pesa na kila kitu.

Vijana wa CCM serikali yenu imefanya makubwa msimalize damu zenu kumshambulia Membe muacheni kweli tuone kama hana huo umaarufu mnaousema.

KIZURI CHAJIUZA KIBAYA CHA JITEMBEZA AWAMU HII IMEZIDI KUJITEMBEZA WANANCHI TUTAFAKARI USIKUTE HAWAJAFANYA KITU HAWA WAHUNI NDIO MAANA PROPAGANDA ZIMEZIDI.
Mbona wewe unaisema CCM ambayo imekuzidi pesa na kila kitu hadi nimekamata nchi?

Membe hana nguvu ya kuishinda CCM naona anaelekea kule kule kwa Sumaye. Yani Membe na Sumaye hawana tofauti bora Lowassa alikuwa na ushawishi lakini si Membe.

CCM ni zimwi ambalo halijapata muaguzi wa kuliondoa bado...
CCM ni chama kioga sana kwani wanajijua hawana watu ila wanategemea dola kubaki madarakani.
 
CCM ni chama kioga sana kwani wanajijua hawana watu ila wanategemea dola kubaki madarakani.
Kwahiyo ndiyo maana CHADEMA inaokota makapi kisa CCM ni chama kioga? Ni kwanini CHADEMA inachukua makapi yaliyotemwa na CCM na kuyapa nafasi ya kupeperusha kijiti cha nafasi kubwa?
 
Kwahiyo ndiyo maana CHADEMA inaokota makapi kisa CCM ni chama kioga? Ni kwanini CHADEMA inachukua makapi yaliyotemwa na CCM na kuyapa nafasi ya kupeperusha kijiti cha nafasi kubwa?
Ngojeni muone siasa mtakoma kuzuia siasa kwa miaka 5. Miezi miwili tu itawafundisha mengi. Hivi wewe kweli unasapoti ccm? Au unatoka chattle.
 
Habarini za leo wakubwa?

Leo nimeleta kwenu hoja hii ambayo nimekuwa nikijiuliza sana kwa mda mrefu toka vuguvugu la Membe kuonyesha nia ya kumpinga Rais Magufuli.

Je kwanini vijana wa CCM wanatumia muda mwingi na efforts nyingi kusema Membe hana ushawishi kama hana ushawishi kwanini wanateseka nae?

Kama serikali hii imefanya makubwa kiasi cha kupendwa na wananchi kwanini inaogopa na haipendi kukosolewa?

Hayo ni maswali yangu makubwa kwa vijana wa CCM damu damu ambao unakuta hawana Hata ajira wapo kumtukana Membe ambae amewazidi pesa na kila kitu.

Vijana wa CCM serikali yenu imefanya makubwa msimalize damu zenu kumshambulia Membe muacheni kweli tuone kama hana huo umaarufu mnaousema.

KIZURI CHAJIUZA KIBAYA CHA JITEMBEZA AWAMU HII IMEZIDI KUJITEMBEZA WANANCHI TUTAFAKARI USIKUTE HAWAJAFANYA KITU HAWA WAHUNI NDIO MAANA PROPAGANDA ZIMEZIDI.
Membe for president via chadema
 
Muda ni Mwalimu mzuri. Tujipe muda ili tukubali au kukataa unachosema. Ingawa siamini kabisa anaisumbua CCM. CCM haiwezi kusumbuliwa na kuondoka kwa mtu asiye na chochote. Labda angekuwa Rais ningeelewa. Mrema na Lowasa ni ushahidi tosha
 
Ngojeni muone siasa mtakoma kuzuia siasa kwa miaka 5. Miezi miwili tu itawafundisha mengi. Hivi wewe kweli unasapoti ccm? Au unatoka chattle.
Siisupport CCM ila CHADEMA kuwa wanachukua rejects za CCM na kuzipa kijiti tena zile rejects ambazo hata wao walikuwa wanaziponda inahitaji uwe na ujasiri kuwasupport
 
Siisupport CCM ila CHADEMA kuwa wanachukua rejects za CCM na kuzipa kijiti tena zile rejects ambazo hata wao walikuwa wanaziponda inahitaji uwe na ujasiri kuwasupport
Kumbuka hata chuma chakavu kinayeyushwa na kurudi kazini, endapo una technologia hiyo. Tutawapiga kwa wana CCM hao hao ni akili tu.
 
Kumbuka hata chuma chakavu kinayeyushwa na kurudi kazini, endapo una technologia hiyo. Tutawapiga kwa wana CCM hao hao ni akili tu.
Acha maneno ya kujipa moyo, solengo si mabadiriko kumbe ni ushindi tu ambao hata hamjali mtaupata kwa njia gani? So tofauti ni nini kama mnatumia wale mliokuwa mnawasema kuwa ni wabaya ndiyo mnawapa nafasi? Haki inahitaji uwe na imani kama ya muumini wa dhehebu isiyohoji kuwaelewa CHADEMA
 
Hakuna anayeteseka kwa Membe kuondoka CCM Mimi CCM damu siteseki .CCM tumepita upepo mkali wa Mrema,ukaja mkali zaidi wa Lowasa na Seif sharrif Hamad Zanzibar tuksushinda kupitia Jecha na huu upepo wa Membe CCM itashinda .

Sisi CCM hatuko interested na mtu tunalinda chama Mrema alikuja na upepo wake akashangaa CCM imebaki salama,akaja Lowasa na Maalim Seif na upepo wao wa UKawa wakaiacha CCM salama na Membe na upepo wake CCM tutavuka tu salama

CCM hatuhangaiki na individuals Chama Ni zaidi ya Mrema,Lowasa, Maalim Seif au Membe upinzani Ndio huhangaika na individuals not CCM

Mtu hata awe na CV ya umoja wa Mataifa lakini kama lengo lake kuitoa CCM madarakani lazima atakwama

Membe hasira zake Kama Yuko nazo kwa Maguifuli asizipeleke CCM ohh narudisha kadi anambabaisha Nani? CCM Ni zaidi ya mtu hata Raisi Maguifuli angehamia upinzani Leo kwa anavyopendwa akisema lengo anataka kuitoa CCM madarakani au kuvunja muungano huu uliopo wa serikali mbili asingerudi uraisi

Membe Karudisha kadi ya CCM kudhani aweza itoa CCM madarakani kashindwa kabla ya kugombea .CCM haichukiwi na ukitaka kukiona Cha mtema kuni tishia kuitoa madarakani CCM kitakachokukuta hutaamini.
 
Habarini za leo wakubwa?

Leo nimeleta kwenu hoja hii ambayo nimekuwa nikijiuliza sana kwa mda mrefu toka vuguvugu la Membe kuonyesha nia ya kumpinga Rais Magufuli.

Je kwanini vijana wa CCM wanatumia muda mwingi na efforts nyingi kusema Membe hana ushawishi kama hana ushawishi kwanini wanateseka nae?

Kama serikali hii imefanya makubwa kiasi cha kupendwa na wananchi kwanini inaogopa na haipendi kukosolewa?

Hayo ni maswali yangu makubwa kwa vijana wa CCM damu damu ambao unakuta hawana Hata ajira wapo kumtukana Membe ambae amewazidi pesa na kila kitu.

Vijana wa CCM serikali yenu imefanya makubwa msimalize damu zenu kumshambulia Membe muacheni kweli tuone kama hana huo umaarufu mnaousema.

KIZURI CHAJIUZA KIBAYA CHA JITEMBEZA AWAMU HII IMEZIDI KUJITEMBEZA WANANCHI TUTAFAKARI USIKUTE HAWAJAFANYA KITU HAWA WAHUNI NDIO MAANA PROPAGANDA ZIMEZIDI.
Nzuri!
 
IMG-20200707-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom