The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Nimekuwa nafuatilia makala mbalimbali za wachambuzi wa kisiasa hasa wale wote waliokuwa "wakijifanya" wako neutral hasa wanapomponda mgombea wa urais wa ukawa Mh lowasa. Uchambuzi wao umejikita kuwa lowasa ni fisadi asichaguliwe vile vile ukiwauliza tuambieni tumchague nani hawatoi jibu, Kama mnachukia ufisadi naamini mtakichukia hata chama cha mapinduzi lakini hamuongelei mabovu ya Magufuli. Kama Lowasa hafai na kweli mnataka mabadiliko kwani msiwaambie watanzania wamchague Mama Anna wa chama cha ACT? ili watanzania wawaelewe.
Swali hili liende kwa wafuatao
Mzee Mwanakijiji/Lula wa ndali Mwananzela
Dr Slaa
Mch Mtikila
Johnson Mbwambo
Joseph Mihangwa
Privatus Karugendo
Evarist Chahali
Na wengine wenye muelekeo huo.
Swali hili liende kwa wafuatao
Mzee Mwanakijiji/Lula wa ndali Mwananzela
Dr Slaa
Mch Mtikila
Johnson Mbwambo
Joseph Mihangwa
Privatus Karugendo
Evarist Chahali
Na wengine wenye muelekeo huo.