Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,764
Tarehe zinaonyesha pale MZANZIBARI anapokwenda kinyume na kutokubaliana na CCM kinachofuata kinajulikana ,ukianzia na akina ,Aboud Jumbe,Seif Sharifu hadi huyu wa juzijuzi tu Mansour ,kilichowakuta hi suali la Mtanganyika anapokosana na Chama chake cha CCM mbona hatuoni wenye viti ,meza ,kata na upawa kuwashupalia na hata vyombo vya dola kuwabambikizia kesi za ajabu ajabu ?,
WaZanzibari jiulizeni WaTanganyika tupeni jibu :smokin:
WaZanzibari jiulizeni WaTanganyika tupeni jibu :smokin: