Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,014
Tangu aingie madarakani amekuwa na ulinzi wenye mbwembwe nyingi kama ule wa nduguye kagame.
Haishi kujinasibu kwamba anawatetea wanyonge. chakushangaza anatembea na uzio wa chuma kukaa mbali na wanyonge.
Kijana wa makambako alipigwa sijui kama yu mzima kwa kuusogelea uzio wa chuma xha mtetezi wa wanyonge
Kama kweli anatetea wanyonge ule uzio ni wanini? anaogopa wanyonge
Ghiriba hizo. unawapora korosho zao kisha unadai unawatetea
Serikali ya ma live tv Show
Haishi kujinasibu kwamba anawatetea wanyonge. chakushangaza anatembea na uzio wa chuma kukaa mbali na wanyonge.
Kijana wa makambako alipigwa sijui kama yu mzima kwa kuusogelea uzio wa chuma xha mtetezi wa wanyonge
Kama kweli anatetea wanyonge ule uzio ni wanini? anaogopa wanyonge
Ghiriba hizo. unawapora korosho zao kisha unadai unawatetea
Serikali ya ma live tv Show