Sebastian kinyondoNi Rais gani duniani asiyetembea na ukuta wa chuma? Papa mwenyewe analindwa na ukuta wa chuma.
Wewe umesaini mikataba gan na ukoo wenuLeo amesaini mkataba na Airbus wa kununua ndege 2_ wakati huo ameomba mkopo was kupambana na Ebola. Hopeless kabisa huyu mtu
Wewe ndio utajua?acasia wakikutaka utajua wewe? watu walipiga john kenedy itakuwa huyo.
Kwani ye ndie anaandaa ulinzi? Huyo jk mwenyewe hatukuwahi kumuona amekaa na wavuvi anapiga story. Japo aliwaachia mpige dili mtakavyo.Tangu aingie madarakani amekuwa na ulinzi wenye mbwembwe nyingi kama ule wa nduguye kagame.
Haishi kujinasibu kwamba anawatetea wanyonge. chakushangaza anatembea na uzio wa chuma kukaa mbali na wanyonge.
Kijana wa makambako alipigwa sijui kama yu mzima kwa kuusogelea uzio wa chuma xha mtetezi wa wanyonge
Kama kweli anatetea wanyonge ule uzio ni wanini? anaogopa wanyonge
Ghiriba hizo. unawapora korosho zao kisha unadai unawatetea
Serikali ya ma live tv Show
Ni kama tu walivyomgonga lisuacasia wakikutaka utajua wewe? watu walipiga john kenedy itakuwa huyo.
Hospital zipo kila kona sasa hivi na dawa bwerere. Waende wakapate tiba.watu wanaugulia maumivu kimoyo moyo iko uvumilivu utafika pomoni.
Tangu aingie madarakani amekuwa na ulinzi wenye mbwembwe nyingi kama ule wa nduguye kagame.
Haishi kujinasibu kwamba anawatetea wanyonge. chakushangaza anatembea na uzio wa chuma kukaa mbali na wanyonge.
Kijana wa makambako alipigwa sijui kama yu mzima kwa kuusogelea uzio wa chuma xha mtetezi wa wanyonge
Kama kweli anatetea wanyonge ule uzio ni wanini? anaogopa wanyonge
Ghiriba hizo. unawapora korosho zao kisha unadai unawatetea
Serikali ya ma live tv Show
Mental retarded thinkings ( mawazo ya Mataahira haya)Tangu aingie madarakani amekuwa na ulinzi wenye mbwembwe nyingi kama ule wa nduguye kagame.
Haishi kujinasibu kwamba anawatetea wanyonge. chakushangaza anatembea na uzio wa chuma kukaa mbali na wanyonge.
Kijana wa makambako alipigwa sijui kama yu mzima kwa kuusogelea uzio wa chuma xha mtetezi wa wanyonge
Kama kweli anatetea wanyonge ule uzio ni wanini? anaogopa wanyonge
Ghiriba hizo. unawapora korosho zao kisha unadai unawatetea
Serikali ya ma live tv Show
Myopic ni wewe, huna unalojua kuhusu ACACIA wewe, mbona hajatoa press release ya kulipwa pesa anazowadai?Very myopic, we unawaona wanyonge tu, vipi jamaa zako wa Acacia!!
Mtetezi wenu dhidi ya nani? mmepata Uhuru lini?Kwani wanaomzunguka na anaopishana nao ni wanyonge peke yake? Au wewe ni mojawapo ya walioshindwa kubomoa ukuta wa chuma sasa umeamua kufanya provoking ukidhani itakusaidia kufikia lengo lako? Tena wangeongeza ukuta uwe mnene mara tatu maana msije mkahatarisha usalama wa mtetezi wetu.
Ndani ya wanyonge wapo wapiga zumari wa mabeberu kama wewe mtamdhulu.Tangu aingie madarakani amekuwa na ulinzi wenye mbwembwe nyingi kama ule wa nduguye kagame.
Haishi kujinasibu kwamba anawatetea wanyonge. chakushangaza anatembea na uzio wa chuma kukaa mbali na wanyonge.
Kijana wa makambako alipigwa sijui kama yu mzima kwa kuusogelea uzio wa chuma xha mtetezi wa wanyonge
Kama kweli anatetea wanyonge ule uzio ni wanini? anaogopa wanyonge
Ghiriba hizo. unawapora korosho zao kisha unadai unawatetea
Serikali ya ma live tv Show
Na wewe pia nikusaidie kuujua ujinga wako pia. Ni kudhani unaweza kukurupa hapa ku-profile watu kwa kuokoteza comments zao. Take it easy!Myopic ni wewe, huna unalojua kuhusu ACACIA wewe, mbona hajatoa press release ya kulipwa pesa anazowadai?
Nyie ni Praise team, just play your part mengine hamyajui ,ujinga ni kipaji chenu.
Anatembea na watu pembeni wana mabegi madogo meusi!Tangu aingie madarakani amekuwa na ulinzi wenye mbwembwe nyingi kama ule wa nduguye kagame.
Haishi kujinasibu kwamba anawatetea wanyonge. chakushangaza anatembea na uzio wa chuma kukaa mbali na wanyonge.
Kijana wa makambako alipigwa sijui kama yu mzima kwa kuusogelea uzio wa chuma xha mtetezi wa wanyonge
Kama kweli anatetea wanyonge ule uzio ni wanini? anaogopa wanyonge
Ghiriba hizo. unawapora korosho zao kisha unadai unawatetea
Serikali ya ma live tv Show
Tangu aingie madarakani amekuwa na ulinzi wenye mbwembwe nyingi kama ule wa nduguye kagame.
Haishi kujinasibu kwamba anawatetea wanyonge. chakushangaza anatembea na uzio wa chuma kukaa mbali na wanyonge.
Kijana wa makambako alipigwa sijui kama yu mzima kwa kuusogelea uzio wa chuma xha mtetezi wa wanyonge
Kama kweli anatetea wanyonge ule uzio ni wanini? anaogopa wanyonge
Ghiriba hizo. unawapora korosho zao kisha unadai unawatetea
Serikali ya ma live tv Show
Ok ila ukitaka kumjua mtu vema tizama matendo yake. Na ndicho Watz walio wengi wanachokitizama kwa sasa. Wamechoka kwani wanatambua kuwa maneno matupu hayavunji mfupa.Ni Rais gani duniani asiyetembea na ukuta wa chuma? Papa mwenyewe analindwa na ukuta wa chuma.